Naombeni ushauri tafadhari

Naombeni ushauri tafadhari

UMenisononesha sana ndugu. Usije kumtenda vibaya uyo anayekupenda kwa dhati.
Pia mwenye akili timamu hawezi kurudia matapishi.Kuna wakati tunatakiwa tukutane na mabaya ili tunapopata mazuri tujue thamani yake.

Aiseeeee
Nimeumia sana moyoni

Nawaza kuna mtu ambae hana hatia ataumizwa muda c mrefu
 
Wakuu poleni kwa majukumu,mimi si mwenyeji sana humu ila ndugu yenu nina jambo linanitatiza sana.Niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti mmoja ambaye nilidumu nae kwa miaka 3 nilimsaidia hadi akafika chuo kikuu na nilipotaka kumwoa familia yake waliomba nimsubiri amalize masomo basi nilichofanya niliamua kumvisha pete ya uchumba kuonyesha upendo wangu kwake.Baadae alibadilika sana na nikaja gundua ananisaliti kwa kuwa na uhusiano na mwanaume mwingine kwa muda wa mwaka mmoja.Niliumia sana na nikajitoa kwenye msururu baadae waliachana na jamaa na mimi baada ya miezi 6 nikatafuta mwanamke mwingine,julai mwaka huu akaanza kunitafuta kwa bidii nilimzuia asinipigie wala kunitumia sms lengo likiwa ni kumsahau kirahisi.Huyu niliyenae ni mwelewa,ananiheshimu sana na kunipenda sana pia kimapenzi anajiweza mno yaani sijawahi kupata mwanamke anayenipa utamu kama yeye na sasa hivi ana mimba yangu ya miezi minne.Tatizo nililonalo ni mimi kumkumbuka sana yule ex kiasi natamani kumpigia simu na bado nampenda sana kweli moyo wangu unanirudisha sana nyuma nimejaribu kumsahau ili nimpende huyu lakini muda mwingi namwaza yule mwingine wakuu samahani sana kama nitawakera nishaurini nifanyeje ili nimsahau na nimpende shemeji/wifi yenu mwenye mimba yangu au niwe nawasiliana nae kama rafiki tu.Samahanini sana kwa maneno mengi..

jaribu kumsahau kabsa yaani ridhika na uliye naye
 
muoe huyo mwenye ujauzito kwakweli mungu anakuona ukimsaliti huyo ntaumia sana
 
Wakuu poleni kwa majukumu,mimi si mwenyeji sana humu ila ndugu yenu nina jambo linanitatiza sana.Niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti mmoja ambaye nilidumu nae kwa miaka 3 nilimsaidia hadi akafika chuo kikuu na nilipotaka kumwoa familia yake waliomba nimsubiri amalize masomo basi nilichofanya niliamua kumvisha pete ya uchumba kuonyesha upendo wangu kwake.Baadae alibadilika sana na nikaja gundua ananisaliti kwa kuwa na uhusiano na mwanaume mwingine kwa muda wa mwaka mmoja.Niliumia sana na nikajitoa kwenye msururu baadae waliachana na jamaa na mimi baada ya miezi 6 nikatafuta mwanamke mwingine,julai mwaka huu akaanza kunitafuta kwa bidii nilimzuia asinipigie wala kunitumia sms lengo likiwa ni kumsahau kirahisi.Huyu niliyenae ni mwelewa,ananiheshimu sana na kunipenda sana pia kimapenzi anajiweza mno yaani sijawahi kupata mwanamke anayenipa utamu kama yeye na sasa hivi ana mimba yangu ya miezi minne.Tatizo nililonalo ni mimi kumkumbuka sana yule ex kiasi natamani kumpigia simu na bado nampenda sana kweli moyo wangu unanirudisha sana nyuma nimejaribu kumsahau ili nimpende huyu lakini muda mwingi namwaza yule mwingine wakuu samahani sana kama nitawakera nishaurini nifanyeje ili nimsahau na nimpende shemeji/wifi yenu mwenye mimba yangu au niwe nawasiliana nae kama rafiki tu.Samahanini sana kwa maneno mengi..
Nashukuru sana kwa ushauri wenu nimeamua kuendelea na huyu mwenye mimba yangu
 
ili nalo limsaulika ktk katiba mpya.nenda kawe mwakilishi.
 
itakua unataka umuajiri kabisa mana kumsomesha umeona haitoshi... loh wanaume hawa, yani una diamond ndani lakin unaiwazia chupa ilyotengenezwa kwa mfano wa diamond nje.... khaa
 
Wewe hata hujui unataka nini maskini!!
Namhurumia huyo mwenye mimba yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom