Siku zote tafuta balance kwenye kupenda...hakuna medali kwa shujaa wa kupenda ili hali anaumia(Hata Mungu hapendi ubwanyenye)
1.Jiamini
2.Jikubali
Ukipenda sana pia ni tatizo. Hizo ni dalili za yeye kutokukupenda "sana"...sasa na wewe punguza-mpende "kidogo" kwa style anayotaka...hivyo hivyo na ukigundua hakuna mapenzi, nawe una-cancel (au vice versa, punguza mapenzi yako kwake zaidi ya kwake kwako...ukiona hashtuki basi 'piga chini')