jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,027
- 4,308
Poleni na majukumu ya hapa na pale..
Mimi ni mwanaume nilie kumbana na adha ya usaliti baada ya mchumba wangu kunisaliti na mtu mwingine. Cha ajabu nilimpenda sana ilabaada ya kunisaliti ile kiu ya upendo wangu kwa mwanamke yeyote ile imekata kabisa yani kila nikikaa najikuta natukana tu wanawake, na mda mwingine nasema hata nikiwa na mwanamke mwingine sitompenda nikujipigia zangu na kusepa.
Yani hii roho ya chuki inaniandama sana juu ya wanawake hata mwanamke akipita mbele yangu najikuta tuu nasema hawa ni walewale nakuanza kumchukia bure.
Naombeni ushauri nifanye nini kuepuka hali hii
Mimi ni mwanaume nilie kumbana na adha ya usaliti baada ya mchumba wangu kunisaliti na mtu mwingine. Cha ajabu nilimpenda sana ilabaada ya kunisaliti ile kiu ya upendo wangu kwa mwanamke yeyote ile imekata kabisa yani kila nikikaa najikuta natukana tu wanawake, na mda mwingine nasema hata nikiwa na mwanamke mwingine sitompenda nikujipigia zangu na kusepa.
Yani hii roho ya chuki inaniandama sana juu ya wanawake hata mwanamke akipita mbele yangu najikuta tuu nasema hawa ni walewale nakuanza kumchukia bure.
Naombeni ushauri nifanye nini kuepuka hali hii
