le profesio
Senior Member
- Jul 21, 2013
- 116
- 16
Habari wana MMU,
Kwanza napenda kuwapa pongezi members wa hili jukwaa ambao mmekuwa mkitoa mchango wa Mawazo katika mijadala mbali mbali ambayo imekuwa inaletwa mbele yenu! Kwa namna moja au nyingine imekuwa ikitusaidia sana, hususan kwenye swala zima la mapenz ambalo linaumiza akil na mioyo ya wengi wetu!
Mimi nina swala moja ambalo limekuwa likinisumbua, nimetokea kumpenda msichana mmoja ambae tumasoma nae hapa chuo, Ud. Ni binti ambae amesimama kiroho, anamisimamo yake ya kimaisha ikiwamo kumtanguliza mungu katika kila kitu!
Ni takriban mwaka mmoja sasa tangu nimeanza mazoea nae na kujaribu kujenga urafik lakin tatizo ni kwamba huwa harespond mesege, hapend kuchat, hata muda wa maongez na watu wengine huwa hana.,
Mara zote yupo bize na mambo yake, in shotly hapend mazoea na mtu yeyote! Nmejaribu kutumia kila njia na bidii ili kujenga hata mazoea nae imeshindikana!
Wadau ,naombeni ushauri wenu kwa wale wenye uzoefu na watu wa aina hii,
Nampenda sana na napenda aje kuwa mke wangu wa ndoa,
Nb. Mimi pia nampenda mungu...,
Hekima na busara itawaleee
Asanten,
Kwanza napenda kuwapa pongezi members wa hili jukwaa ambao mmekuwa mkitoa mchango wa Mawazo katika mijadala mbali mbali ambayo imekuwa inaletwa mbele yenu! Kwa namna moja au nyingine imekuwa ikitusaidia sana, hususan kwenye swala zima la mapenz ambalo linaumiza akil na mioyo ya wengi wetu!
Mimi nina swala moja ambalo limekuwa likinisumbua, nimetokea kumpenda msichana mmoja ambae tumasoma nae hapa chuo, Ud. Ni binti ambae amesimama kiroho, anamisimamo yake ya kimaisha ikiwamo kumtanguliza mungu katika kila kitu!
Ni takriban mwaka mmoja sasa tangu nimeanza mazoea nae na kujaribu kujenga urafik lakin tatizo ni kwamba huwa harespond mesege, hapend kuchat, hata muda wa maongez na watu wengine huwa hana.,
Mara zote yupo bize na mambo yake, in shotly hapend mazoea na mtu yeyote! Nmejaribu kutumia kila njia na bidii ili kujenga hata mazoea nae imeshindikana!
Wadau ,naombeni ushauri wenu kwa wale wenye uzoefu na watu wa aina hii,
Nampenda sana na napenda aje kuwa mke wangu wa ndoa,
Nb. Mimi pia nampenda mungu...,
Hekima na busara itawaleee
Asanten,