Naombeni ushauri,namempenda binti mlokole

Naombeni ushauri,namempenda binti mlokole

le profesio

Senior Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
116
Reaction score
16
Habari wana MMU,

Kwanza napenda kuwapa pongezi members wa hili jukwaa ambao mmekuwa mkitoa mchango wa Mawazo katika mijadala mbali mbali ambayo imekuwa inaletwa mbele yenu! Kwa namna moja au nyingine imekuwa ikitusaidia sana, hususan kwenye swala zima la mapenz ambalo linaumiza akil na mioyo ya wengi wetu!

Mimi nina swala moja ambalo limekuwa likinisumbua, nimetokea kumpenda msichana mmoja ambae tumasoma nae hapa chuo, Ud. Ni binti ambae amesimama kiroho, anamisimamo yake ya kimaisha ikiwamo kumtanguliza mungu katika kila kitu!

Ni takriban mwaka mmoja sasa tangu nimeanza mazoea nae na kujaribu kujenga urafik lakin tatizo ni kwamba huwa harespond mesege, hapend kuchat, hata muda wa maongez na watu wengine huwa hana.,

Mara zote yupo bize na mambo yake, in shotly hapend mazoea na mtu yeyote! Nmejaribu kutumia kila njia na bidii ili kujenga hata mazoea nae imeshindikana!

Wadau ,naombeni ushauri wenu kwa wale wenye uzoefu na watu wa aina hii,

Nampenda sana na napenda aje kuwa mke wangu wa ndoa,
Nb. Mimi pia nampenda mungu...,


Hekima na busara itawaleee

Asanten,
 
jaribu kumwambia una maongezi nae.......

unahitaji sehem ya musa wake mkae mzungumze
 
Habari wana MMU,

Kwanza napenda kuwapa pongezi members wa hili jukwaa ambao mmekuwa mkitoa mchango wa Mawazo katika mijadala mbali mbali ambayo imekuwa inaletwa mbele yenu! Kwa namna moja au nyingine imekuwa ikitusaidia sana, hususan kwenye swala zima la mapenz ambalo linaumiza akil na mioyo ya wengi wetu!

Mimi nina swala moja ambalo limekuwa likinisumbua, nimetokea kumpenda msichana mmoja ambae tumasoma nae hapa chuo, Ud. Ni binti ambae amesimama kiroho, anamisimamo yake ya kimaisha ikiwamo kumtanguliza mungu katika kila kitu!

Ni takriban mwaka mmoja sasa tangu nimeanza mazoea nae na kujaribu kujenga urafik lakin tatizo ni kwamba huwa harespond mesege, hapend kuchat, hata muda wa maongez na watu wengine huwa hana.,

Mara zote yupo bize na mambo yake, in shotly hapend mazoea na mtu yeyote! Nmejaribu kutumia kila njia na bidii ili kujenga hata mazoea nae imeshindikana!

Wadau ,naombeni ushauri wenu kwa wale wenye uzoefu na watu wa aina hii,

Nampenda sana na napenda aje kuwa mke wangu wa ndoa,
Nb. Mimi pia nampenda mungu...,


Hekima na busara itawaleee

Asanten,

Kama kweli unampenda kweli inabidi na wewe uwe na msimamo na usimame kiroho kama yeye ili mfanane ila kwasasa inabidi umwombe kiheshima n seriously kuongea naye,jaribu hata kumtuma mtu unayemwamini.Ila nakushauri usimchezee tu na kumwacha utaweza kupata laana yake mkuu,panga naye khs ndoa kbs.
 
kama hekima na busara unataka itawale wewe ungeanza kumuomba Mungu akusaidie kupata mke maadam upo hapa u will get ur spoils
 
Kama kweli unampenda kweli inabidi na wewe uwe na msimamo na usimame kiroho kama yeye ili mfanane ila kwasasa inabidi umwombe kiheshima n seriously kuongea naye,jaribu hata kumtuma mtu unayemwamini.Ila nakushauri usimchezee tu na kumwacha utaweza kupata laana yake mkuu,panga naye khs ndoa kbs.

Ni kweli, huwa namwomba mungu kwa hilo, ila ni kama vile naelekea kukata tamaa,coz of litle responce of my effort
 
We wasema! Alaf labda uanze wewe ku-spoils...mkuu
mke mwema mtu hupewa na Mungu na sio JF! invest in prayers. muda huu unaouliza hapa jf ungekuwa unaomba ili upate mke mwema. labda umeshindwa tu kusema unataka utembee naye then usepe maana kama sio hivyo usingeongelea misimamo ya huyo binti ungejua tu hiyo ndo imani yake! spoils I dint mean kuchafua rather a reward or share!!
 
hadi chuo kikuu hujui kutongoza ? Jichagulie tusi
 
mke mwema mtu hupewa na Mungu na sio JF! invest in prayers. muda huu unaouliza hapa jf ungekuwa unaomba ili upate mke mwema. labda umeshindwa tu kusema unataka utembee naye then usepe maana kama sio hivyo usingeongelea misimamo ya huyo binti ungejua tu hiyo ndo imani yake! spoils I dint mean kuchafua rather a reward or share!!

Cjaja kutafuta mke hapa..umeninukuu vbya! What i askd is what to do,sawa?
 
Ni kweli, huwa namwomba mungu kwa hilo, ila ni kama vile naelekea kukata tamaa,coz of litle responce of my effort

The same case happened to me thats y nakupa moyo,inawezekn kwa sasa nayeye anaendelea kukusoma nawewe upoje au anakupima kama unamaanisha au la,Usichoke wala kukata tamaa,mtumie mtu.
 
The same case happened to me thats y nakupa moyo,inawezekn kwa sasa nayeye anaendelea kukusoma nawewe upoje au anakupima kama unamaanisha au la,Usichoke wala kukata tamaa,mtumie mtu.

Nashukuru!
 
Kumpata binti aliyeshikilia Imani inakuwa ngumu sana,cha kufanya usiwe na haraka ya kumpata kimapenzi.

Anza kwa kumpata kiroho kwanza na muaminishe kuwa huna nia mbaya nae.Ikiwezekana mfatane kila anapoenda ibada na sala za jioni muwe wote.

Kama mnasoma darasa moja jaribu kuwa unafanya naye discussion na hata muda wa msosi basi muwe wote.

Taratibu anza kumsoma hisia zake kama kweli anaingilika na anaweza kuwa katika mahusiano,kama utaona yupo tayari basi mwaga verses za maana zenye malengo na sio zile, oohh kwetu tuna pesa blah blah kibao weka pembeni.Na kama haingiliki basi jombaa chapa lapa usije hadhirika maana atakukataa na urafiki wenu ndo utakuwa mwisho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom