Naombeni ushauri naenda chuo kikuu

Naombeni ushauri naenda chuo kikuu

good idea ila utekelezaji ni changamoto kutokana na kipato na uhalisia wa maisha ya chuo, labda utueleze kwa ufupi una tegemea mkopo au wazazi?
 
good idea ila utekelezaji ni changamoto kutokana na kipato, labda utueleze kwa ufupi una tegemea mkopo au wazazi?
Nategemea mkopo yaan boom langu nilitumie vzr niweke bajeti vizuri ili niweke akiba ya kutosha
 
Wakati wa masomo yangu nahitaji kuweka akiba ili badae niweze kufungua duka wakati nasubiri Ajira zitoke
Naona unampango kazi tayari sasa sijui unahitaji ushauri gani zaidi?
Labda niulize; Umepata mkopo 100% au utapata hela za kujikimu kutoka kwa wazazi wako?
 
Kikubwa ww uw mtu wa kujinyima tu unaweza kusave sema utakonda sn mana itabid uwe mtu wa kula mihogo tu
 
Ushauri wangu ni huu Mkuu:-

Soma kiasi (usipambanie GPA), kula bata kiasi (usiwe mlevi ila gusa kamyweso). Jiconnect na washua na ma bro walio makini unaosoma nao.

Ukitaka demu mkali kuwa na urafiki na mademu wakali, (usiwatongoze tongoza pisi ya first year wajao).

Boom sio mtaji ila kuwa na vitu muhimu vitakavyokusaidia ukimaliza chuo life liendelee.

Kubwa kuliko yote usiishi hostel.
 
Back
Top Bottom