Mkuu daaah poleeee lakin hebu nianze na wwe kuwa baba mwenye nyumba usiwe mvulana kwani misimamo yako hajui.. pia weka mipaka kwenye cm haiwezekani kila kitu apekuwe kama kuku anataftia wanae rizikiHabarini wana jamvi? Nina mwaka na nusu sasa tangu nifunge ndoa na sasa tuna mtoto wa kiume ana miezi mitatu,sasa kabla hatujapata mtoto mke wangu alikuwa anabehave kama malaika vile kitu utakachomwelekeza anakuelewa poa sana na sehemu ambayo anaona amekosea atarud chini yanaisha, sasa issue imekuja baada ya kupata mtoto cuz kipindi cha mimba alikuwa na wivu uliopitiliza tofauti na mwanzo,mpaka nkahisi anajifanyisha muda mwingine na ugomvi mkubwa ulikuwa kuhusu simu ambayo mwanzoni alikuwa anaishika lakini anabehave anapokuwa nayo na evidence zote ambazo nlikuwa naona zitamkwaza nafuta mapema tu,lakini sasa hv imefikia mpaka nambadilishia password basi hapo atatuna wiki nzima, nikimwonesha napo inakuwa tabu anaweza kuanzisha chat na mtu akijifanya ni mm saa nyingine hata wale watu wangu wa msingi akimaliza anafuta (hili nilithibitishiwa na watu wanne tofauti like jana mbona sikuelewa unaongelea nn! Nauliza jana tulichat kwan, ndio mtu anakuonesha text zako ambazo katuma wife), na katabia kingine utakuta keshajiweka dp wakati na yeye anasimu yake,na sio kama simuwekagi muda mwingine unakuta anaweka picha like kama za kichokozi na status za kimbea, anabaki anasikilizia kuangalia kwenye cm yake kama ntabadilisha dp yangu,nikibadili mzozo na juzi kilichoniboa kaanzisha chati na kiongozi wangu ofisini ambae namuheshimu sana kwanza kanizidi umri,na hizo chat yeye anaweza anzisha na namba yyte akijisikia yule mother alihisi sio mimi baada ya siku kadhaa akaniita akanambia na kunionesha sms, ikabidi niwe mpole nimwambie hizi kasumba za wife,niliporudi nkamwelezea alichokifanya kwamba hakijanipendeza na nilishawahi kumuonya cha kushangaza basi kajinunisha,huyo mtoto ndio anatumika kama kigezo hapo ntanyimwa hata kumgusa,basi ikabidi niwe mpole,baada ya muda naangalia status yake kaandika "Siui mende kwa nyundo" yani niliona moja kwa moja unanihusu na anajifanyisha makusudi.
Naombeni ushauri wenu ndugu zanguni yani home pamekuwa si sehemu salama ya kuwahi kurud ukitoka kazini.
Ndoa ndoano!? Hawez kukuheshim mke wako hata kidogo kuna kosa ulilifanya mwanzon ludi kaa chin uone wap ulikosea.Habarini wana jamvi? Nina mwaka na nusu sasa tangu nifunge ndoa na sasa tuna mtoto wa kiume ana miezi mitatu,sasa kabla hatujapata mtoto mke wangu alikuwa anabehave kama malaika vile kitu utakachomwelekeza anakuelewa poa sana na sehemu ambayo anaona amekosea atarud chini yanaisha, sasa issue imekuja baada ya kupata mtoto cuz kipindi cha mimba alikuwa na wivu uliopitiliza tofauti na mwanzo,mpaka nkahisi anajifanyisha muda mwingine na ugomvi mkubwa ulikuwa kuhusu simu ambayo mwanzoni alikuwa anaishika lakini anabehave anapokuwa nayo na evidence zote ambazo nlikuwa naona zitamkwaza nafuta mapema tu,lakini sasa hv imefikia mpaka nambadilishia password basi hapo atatuna wiki nzima, nikimwonesha napo inakuwa tabu anaweza kuanzisha chat na mtu akijifanya ni mm saa nyingine hata wale watu wangu wa msingi akimaliza anafuta (hili nilithibitishiwa na watu wanne tofauti like jana mbona sikuelewa unaongelea nn! Nauliza jana tulichat kwan, ndio mtu anakuonesha text zako ambazo katuma wife), na katabia kingine utakuta keshajiweka dp wakati na yeye anasimu yake,na sio kama simuwekagi muda mwingine unakuta anaweka picha like kama za kichokozi na status za kimbea, anabaki anasikilizia kuangalia kwenye cm yake kama ntabadilisha dp yangu,nikibadili mzozo na juzi kilichoniboa kaanzisha chati na kiongozi wangu ofisini ambae namuheshimu sana kwanza kanizidi umri,na hizo chat yeye anaweza anzisha na namba yyte akijisikia yule mother alihisi sio mimi baada ya siku kadhaa akaniita akanambia na kunionesha sms, ikabidi niwe mpole nimwambie hizi kasumba za wife,niliporudi nkamwelezea alichokifanya kwamba hakijanipendeza na nilishawahi kumuonya cha kushangaza basi kajinunisha,huyo mtoto ndio anatumika kama kigezo hapo ntanyimwa hata kumgusa,basi ikabidi niwe mpole,baada ya muda naangalia status yake kaandika "Siui mende kwa nyundo" yani niliona moja kwa moja unanihusu na anajifanyisha makusudi.
Naombeni ushauri wenu ndugu zanguni yani home pamekuwa si sehemu salama ya kuwahi kurud ukitoka kazini.
Kama itawezekana usitumie social media kwa muda na kama itawezekana hata simu tumia ya kawaida tu isiyokuwa smartphone, ili uweze kuondokana na tatizo hilo, kwani invyoonyesha wewe ni mstahamilivu hivyo basi stahamili kutotumia hizi social media kwani kwa kipindi hiki inaonyesha hazina faida na wewe, bali zinakutia karaha na hasira.Habarini wana jamvi? Nina mwaka na nusu sasa tangu nifunge ndoa na sasa tuna mtoto wa kiume ana miezi mitatu,sasa kabla hatujapata mtoto mke wangu alikuwa anabehave kama malaika vile kitu utakachomwelekeza anakuelewa poa sana na sehemu ambayo anaona amekosea atarud chini yanaisha, sasa issue imekuja baada ya kupata mtoto cuz kipindi cha mimba alikuwa na wivu uliopitiliza tofauti na mwanzo,mpaka nkahisi anajifanyisha muda mwingine na ugomvi mkubwa ulikuwa kuhusu simu ambayo mwanzoni alikuwa anaishika lakini anabehave anapokuwa nayo na evidence zote ambazo nlikuwa naona zitamkwaza nafuta mapema tu,lakini sasa hv imefikia mpaka nambadilishia password basi hapo atatuna wiki nzima, nikimwonesha napo inakuwa tabu anaweza kuanzisha chat na mtu akijifanya ni mm saa nyingine hata wale watu wangu wa msingi akimaliza anafuta (hili nilithibitishiwa na watu wanne tofauti like jana mbona sikuelewa unaongelea nn! Nauliza jana tulichat kwan, ndio mtu anakuonesha text zako ambazo katuma wife), na katabia kingine utakuta keshajiweka dp wakati na yeye anasimu yake,na sio kama simuwekagi muda mwingine unakuta anaweka picha like kama za kichokozi na status za kimbea, anabaki anasikilizia kuangalia kwenye cm yake kama ntabadilisha dp yangu,nikibadili mzozo na juzi kilichoniboa kaanzisha chati na kiongozi wangu ofisini ambae namuheshimu sana kwanza kanizidi umri,na hizo chat yeye anaweza anzisha na namba yyte akijisikia yule mother alihisi sio mimi baada ya siku kadhaa akaniita akanambia na kunionesha sms, ikabidi niwe mpole nimwambie hizi kasumba za wife,niliporudi nkamwelezea alichokifanya kwamba hakijanipendeza na nilishawahi kumuonya cha kushangaza basi kajinunisha,huyo mtoto ndio anatumika kama kigezo hapo ntanyimwa hata kumgusa,basi ikabidi niwe mpole,baada ya muda naangalia status yake kaandika "Siui mende kwa nyundo" yani niliona moja kwa moja unanihusu na anajifanyisha makusudi.
Naombeni ushauri wenu ndugu zanguni yani home pamekuwa si sehemu salama ya kuwahi kurud ukitoka kazini.
kwa kifupi hajafundwaNatoa wazo ingawa wewe hujajielezea kasoro zako. Mimi hua naamini mwanamke katika ndoa atabaki kua mwanamke tu no matter what!, sasa mimi kwa nilivosoma maelezo yako uyo bi dada kashaanza kujitoa ufahamu wa kua yeye ni mwanamke inatakiwa ajiheshimu kipivi na piah amuheshimu mumewe kivipi!,
Ewaaaah, apo ni mubashara kabisa miss chaggakwa kifupi hajafundwa
Nimekuelewa lakini kumuachia cm yangu ilikuwa moja ya kumaminisha kwamba sina njia nyingine ambazo hazina msingi na ndio maana najiamini kumuachia cm ili ifike sehemu ajithibitishie na awe na imani na mm lakin kwake ikawa tofauti.Mwanamke akifikisha mimba kubwa na baada ya kujifungua ndo kabisaaaa mwanaume uwa malaya kutokana na hali ya mkeo kujifungua.
hili haliihitaji udhibitisho,
wakati wa kutongoza kuna wanaume wapo wazi wanasemaga haya maneno.
-wife kajifungua si enjoy mapenzi
- mara wife yupo kwenye siku zake, ujinga mtupu.
Mleta mada hili ndo linakuponza mke kujifungua umeanza umalaya, haiwezekani ndoa changa hivyo mkeo abadilike.
Kuna wanaume wanajielewa, hata kama ana mchepuko mke wake akijifungua anavumilia mwaka mmoja kutotoka nje mtoto kwanza akue.
Shoga yangu alijifungua mwezi wa 12 mapacha sasa hivi mmewe anaingia ndani saa 5 kila akiingia ndani ana sababu mara mvua ilinyesha town, mara nn sms za michepuko yaan utumbo mtupu.
Akaniambia nikamshauri kwanza tunza hizo sms za mchepuko wa mmeo, akafanya hivyo, pili sajiri lain ya siri inunulie simu yake ficha chumba kingine uwe unaitumia sms afu unajibu mwenyewe.
Anaandika sms hivi
"darling ndoa imenishinda mwanaume kila siku anachelewa kufika ndani, nikimuuliza ni ugonvi, nina stress naomba tukutane weekend unipunguzie stress mm siwezi kujibizana nae tena. Anaituma. hafuti sent items simu anaacha kabatini akifika jikoni anajibu mwenyewe , mme yupo seblen anaskia sms zinaingia baada ya wiki mme siku moja kashika sim ya mke ahaaa mkuki kwa nguruweeee wacha mme asaleeee vurugu tupu, mwanamke kamwonesha zile sms za mchepuko, na akamwambia na mm nimeamua kutafuta pa kupunguzia stress mwanaume aliumia balaaa.
Pole sana ndugu. Huyo wife wako naona hatofautiani Sana na wife wangu kwa kila tabiaHabarini wana jamvi? Nina mwaka na nusu sasa tangu nifunge ndoa na sasa tuna mtoto wa kiume ana miezi mitatu,sasa kabla hatujapata mtoto mke wangu alikuwa anabehave kama malaika vile kitu utakachomwelekeza anakuelewa poa sana na sehemu ambayo anaona amekosea atarud chini yanaisha, sasa issue imekuja baada ya kupata mtoto cuz kipindi cha mimba alikuwa na wivu uliopitiliza tofauti na mwanzo,mpaka nkahisi anajifanyisha muda mwingine na ugomvi mkubwa ulikuwa kuhusu simu ambayo mwanzoni alikuwa anaishika lakini anabehave anapokuwa nayo na evidence zote ambazo nlikuwa naona zitamkwaza nafuta mapema tu,lakini sasa hv imefikia mpaka nambadilishia password basi hapo atatuna wiki nzima, nikimwonesha napo inakuwa tabu anaweza kuanzisha chat na mtu akijifanya ni mm saa nyingine hata wale watu wangu wa msingi akimaliza anafuta (hili nilithibitishiwa na watu wanne tofauti like jana mbona sikuelewa unaongelea nn! Nauliza jana tulichat kwan, ndio mtu anakuonesha text zako ambazo katuma wife), na katabia kingine utakuta keshajiweka dp wakati na yeye anasimu yake,na sio kama simuwekagi muda mwingine unakuta anaweka picha like kama za kichokozi na status za kimbea, anabaki anasikilizia kuangalia kwenye cm yake kama ntabadilisha dp yangu,nikibadili mzozo na juzi kilichoniboa kaanzisha chati na kiongozi wangu ofisini ambae namuheshimu sana kwanza kanizidi umri,na hizo chat yeye anaweza anzisha na namba yyte akijisikia yule mother alihisi sio mimi baada ya siku kadhaa akaniita akanambia na kunionesha sms, ikabidi niwe mpole nimwambie hizi kasumba za wife,niliporudi nkamwelezea alichokifanya kwamba hakijanipendeza na nilishawahi kumuonya cha kushangaza basi kajinunisha,huyo mtoto ndio anatumika kama kigezo hapo ntanyimwa hata kumgusa,basi ikabidi niwe mpole,baada ya muda naangalia status yake kaandika "Siui mende kwa nyundo" yani niliona moja kwa moja unanihusu na anajifanyisha makusudi.
Naombeni ushauri wenu ndugu zanguni yani home pamekuwa si sehemu salama ya kuwahi kurud ukitoka kazini.
watu wana laini za siri zinaishi maofisini sembuse????Nimekuelewa lakini kumuachia cm yangu ilikuwa moja ya kumaminisha kwamba sina njia nyingine ambazo hazina msingi na ndio maana najiamini kumuachia cm ili ifike sehemu ajithibitishie na awe na imani na mm lakin kwake ikawa tofauti.
Habarini wana jamvi? Nina mwaka na nusu sasa tangu nifunge ndoa na sasa tuna mtoto wa kiume ana miezi mitatu,sasa kabla hatujapata mtoto mke wangu alikuwa anabehave kama malaika vile kitu utakachomwelekeza anakuelewa poa sana na sehemu ambayo anaona amekosea atarud chini yanaisha, sasa issue imekuja baada ya kupata mtoto cuz kipindi cha mimba alikuwa na wivu uliopitiliza tofauti na mwanzo,mpaka nkahisi anajifanyisha muda mwingine na ugomvi mkubwa ulikuwa kuhusu simu ambayo mwanzoni alikuwa anaishika lakini anabehave anapokuwa nayo na evidence zote ambazo nlikuwa naona zitamkwaza nafuta mapema tu,lakini sasa hv imefikia mpaka nambadilishia password basi hapo atatuna wiki nzima, nikimwonesha napo inakuwa tabu anaweza kuanzisha chat na mtu akijifanya ni mm saa nyingine hata wale watu wangu wa msingi akimaliza anafuta (hili nilithibitishiwa na watu wanne tofauti like jana mbona sikuelewa unaongelea nn! Nauliza jana tulichat kwan, ndio mtu anakuonesha text zako ambazo katuma wife), na katabia kingine utakuta keshajiweka dp wakati na yeye anasimu yake,na sio kama simuwekagi muda mwingine unakuta anaweka picha like kama za kichokozi na status za kimbea, anabaki anasikilizia kuangalia kwenye cm yake kama ntabadilisha dp yangu,nikibadili mzozo na juzi kilichoniboa kaanzisha chati na kiongozi wangu ofisini ambae namuheshimu sana kwanza kanizidi umri,na hizo chat yeye anaweza anzisha na namba yyte akijisikia yule mother alihisi sio mimi baada ya siku kadhaa akaniita akanambia na kunionesha sms, ikabidi niwe mpole nimwambie hizi kasumba za wife,niliporudi nkamwelezea alichokifanya kwamba hakijanipendeza na nilishawahi kumuonya cha kushangaza basi kajinunisha,huyo mtoto ndio anatumika kama kigezo hapo ntanyimwa hata kumgusa,basi ikabidi niwe mpole,baada ya muda naangalia status yake kaandika "Siui mende kwa nyundo" yani niliona moja kwa moja unanihusu na anajifanyisha makusudi.
Naombeni ushauri wenu ndugu zanguni yani home pamekuwa si sehemu salama ya kuwahi kurud ukitoka kazini.
Unatokana na nn mbona mwanzo hakuwa hivyo?Kuna daktari hapa Hawaii nimemtafsiria hii kiingereza akasema, "THAT IS PSYCHOSIS"
Umpeleke hospitali mara moja. Mwanzoni alidhani ni Post Partum depression lakini ameona hiyo imezidi. Usidhani ni tabia ya kawaida...ni ugonjwa!
Mmh si kweliAmeshajifungua lakin katika kutaka ushauri wanasema kila mimba huja mambo yake ndio maana wananiambia ni kipindi cha mpito cuz ana mtoto as long as amejifungua na bado mtoto ni mdogo ndio ana miezi yaenda mitatu now,lile zengwe la mimba linakuwa linamtoka.