Huu siyo mwandiko wa bar attendant ! Acha uongo !!!
Huo sio mwandiko wa bar maid, umetunga
Mbona hamna tatizo.hapo mkuu au hujui kusoma na kuandika mkuu?kila kitu kipo waziiiiiii
Ameomba msaidie tu,IPO Siku nawe atakufaa.hiyo bill umetunga tu mwenyewe acha kuhadaa watu wazima hapa. ukaweka kwenye sakafu yako ukakapiga picha et
Inaonekana bro wewe ni handwriting expert eeeh...haya tuambie na prezdaa jpm anaandikaje mwandiko wake???!Huu siyo mwandiko wa bar attendant ! Acha uongo !!!
ni wa nani? Sema basi.the highest point of ignorance is to reject what u dont knwHuu siyo mwandiko wa bar attendant ! Acha uongo !!!
Kabla hujampa ofa, muulize namba gani, akianza na 0713....
Huyo Waiter nae ki.laza badala angeongeza humo humo yeye anaweka maombi tena.
Hiyo sio risiti halali. Dai risiti mkuu
Kuna kaukweli hapaHuu siyo mwandiko wa bar attendant ! Acha uongo !!!
Mi nko mbali na dunia, Safari 1800? Mlipe vyote tu, maisha ni furaha. Jifurahishe.
Proforma Invoice mkuu, risit ukishatoa mpunga ndio unakabidhiwa.
Viroba hatuandikiwi bill, pay first tu.Eenhe, bar gan hiyo na mimi nikapige hata kiroba tu...
Mi nko mbali na dunia, Safari 1800? Mlipe vyote tu, maisha ni furaha. Jifurahishe.