GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,193
Habari za majukumu wadau wa jukwaa hili. Nina mpango aa kunua hiyo simu tajwa. Nimeipenda umbo lake lakin mambo ya kuhusu processor sijui. Pia nimeona ina super amoled. Naomben kwa anayeijua vizur anifafanulie coz nipo gizan kuhusu mambo haya. Natanguliza shukran