Kusoma ni kuongeza maalifa sio kumnyanyapaa kihivyoMwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Sawa.. ila natamani sana kusoma master ili niwe kilaza mwenye uhafadhali.. pia vipi nikifanikiwa kupata hyo master hv siwezi hamia wizara kiongozi..? Nipe ushauri chief.Mwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Chief hajakuomba uje umvimbiee hapa,Ameomba ushauri khaa!!Mwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Aisee mkuu, maneno makali mno kumbuka tu hata hiyo fani nono ambayo umeisomea wewe waliokufundisha ni walimu kama huyo so bila wao hiyo unayodai fani nono ungeisomea kutoka kwa nani kama si waalimu? Course zote ni nono kwa kila mtu. Kama huna cha kumshauri si ungepita kimya tu. Tusikatishane tamaa bana.Mwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Soma masters:-Kwema wakuu.. naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu nilisoma BACHELOR OF EDUCATION (BED. Geography) natamani kusoma masters sasa sijui nisomee masters ya kitu gani naombeni ushauri.
Nadhani huyo jamaa watoto wake hatawapeleka shule kwa vilaza ,Mungu amsamehe hajui aliandikalo.Aisee mkuu, maneno makali mno kumbuka tu hata hiyo fani nono ambayo umeisomea wewe waliokufundisha ni walimu kama huyo so bila wao hiyo unayodai fani nono ungeisomea kutoka kwa nani kama si waalimu? Course zote ni nono kwa kila mtu. Kama huna cha kumshauri si ungepita kimya tu. Tusikatishane tamaa bana.
Asanteni sana Mungu awabarikiKama unatarget kuongeza Elimu, it is ok. Ila kama unatarget kupanda mshahara unapoteza muda. Kidogo ukisomea Masters ya Uongozi wa Elimu halafu uwe na Connection waweza kupata uafisa Bomani...mind u, uwe na connection. Kama huna connection utaishia kwenye chaki, ukibahatika utapata ualimu Mkuu.
Kila la kheri, elimu haina mwisho!
Kwani akisoma masters akaendelea kushika chaki mshahara unapanda mkuu ?Kama unatarget kuongeza Elimu, it is ok. Ila kama unatarget kupanda mshahara unapoteza muda. Kidogo ukisomea Masters ya Uongozi wa Elimu halafu uwe na Connection waweza kupata uafisa Bomani...mind u, uwe na connection. Kama huna connection utaishia kwenye chaki, ukibahatika utapata ualimu Mkuu.
Kila la kheri, elimu haina mwisho!
Toa upuuzi wako huko na ww. Sometimes tukubali bila walimu hata ww usingekuwa hapo. Unaweza kuandika na kujilendemua sababu ya hao hao walimu. Tuweni watu wa kushukuru hizi dharau si dhani kama zinapendeza. Huna wazo ni bora upite kushotoMwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Kasome master mkuu, achana na wapuuzi. Duniani hakuna elimu mbaya, hakikisha tu unafaulu vizuri.Kuna wahasibu, physists, IT kibao wamekimbilia post graduate za ualimu af humu kuna wajuaji wanaponda.Sawa.. ila natamani sana kusoma master ili niwe kilaza mwenye uhafadhali.. pia vipi nikifanikiwa kupata hyo master hv siwezi hamia wizara kiongozi..? Nipe ushauri chief.
Aisee.. shukrani sanaKasome master mkuu, achana na wapuuzi. Duniani hakuna elimu mbaya, hakikisha tu unafaulu vizuri.Kuna wahasibu, physists, IT kibao wamekimbilia post graduate za ualimu af humu kuna wajuaji wanaponda.
Sekta ya elumu ni kubwa sana kuanzia vyuo vikuu, taasisi za elimu, nlbaraza la mitihani, wizara , mashirika ya kimataifa na hata nje ya nchi.
Wamesahau Jiwe alikuwa pure teacher na amewabuluza ipasavyo *****.
Kuna sekta hawajawahi toa viongozi wakubwa ila sekta ya elimu imejaza viongozi wa kutosha ngazi zote hizo fursa zote wajinga wanajifanya hawazioni.
Mkuu kapige shule na faulu vizuri , master haijawahi mtupa mtu alie kwenye system isitoshe chuo ni sehemu ya exposure sio lazima ufundishe tu au upewe uongozi .
Kuna watu walikimbilia chemical engineering wapo kuoza mapafu mmoja kazikwa juzijuzi.
Mim huwezi leo unambie nikasome udaktari, unesi, farmacy, civil,mechanical, mining.
Hawa watu hawana furaha na kazi zao mda wote kuzunguka zunguka tu kwenye mabumbi.
Watu wanaokula life na viyoyozi ni watu wa admistration wengine ni vumbi na harufu mbaya za wagonjwa.
Tungekuwa tuna reverse time kuna watu wengi wangezikombia kazi zao maana thry are not happy !
Nchi hii inawatu wa hovyo, ase kama huna cha kumwambia si bora ukae kimyaMwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Kama ulisoma Geography nenda pale udsm "jalalani" au ardhi ukasome Masters ya GIS..Kwema wakuu..
Naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu nilisoma BACHELOR OF EDUCATION (BED. Geography) natamani kusoma masters sasa sijui nisomee masters ya kitu gani naombeni ushauri.
Mkuu Braity habari za sikuToa upuuzi wako huko na ww. Sometimes tukubali bila walimu hata ww usingekuwa hapo. Unaweza kuandika na kujilendemua sababu ya hao hao walimu. Tuweni watu wa kushukuru hizi dharau si dhani kama zinapendeza. Huna wazo ni bora upite kushoto