Naombeni ushauri jinsi ya kumsahau

Naombeni ushauri jinsi ya kumsahau

Pole sana,Kata mawasiliano tafuta kampani mpya utamsahau tu
 
hebu ni pm nina mazungumzo na wewe kwa kuwa wangu naye ananizingua
 
Poteza mawasiliano nae usmtafute kaa kimya usimtumie msg usimwambie lolote Kipiga pokea usiwe na haraka na kujiexpress wala usimpe chance akutake ujieleze atachoka.yeye na.jitahid sana kumsahau kama tu unahitaj hivo ila nakushaur pima maji na unga utajua kipi kizito
 
Unataka ushauriwe nini ikiwa huwezi kuishi bila yeye......umeingia kwenye mapenzi miguu yote na si kosa lako ni utoto cha kukushauri dunia ndo hii na yapo mengi utakuja kukutana nayo zaidi ya hayo.

Usipokuwa makini utaangukia pua.Achana na huyo mtu.
 
C'mon girl achana nae huyo bazazi...umeshafanya kosa moja sio tiketi ya kuendelea kufanya makosa....umegundua mapema kwamba ana wanawake wengi unataka uone nini zaidi ndo uridhike kwamba hakufai??? Ingekuwa umemnyima papuchi tungesema may be........ Sasa endelea kukaa hapo utumike wee mwisho wa siku anaoa katoto kabichii kutoka form four
 
Tafuta mtu mwingine uzini naye bila shaka atakusaulisha huyo aliyekuchojoa bikira...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom