Naombeni ushauri jamani

Naombeni ushauri jamani

abou de don

New Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Kuna msichana nampenda sana na nimekua nae takriban miaka 2 sasa wakati naanza nae mahusiano alikua amemaliza kidato cha 4 lakini alinikubalia kwa sharti Moja kwamba hatoshiriki tendo LA ndoa na Mimi mpaka atakapomaliza kidato cha 6 kwakua nilikua nampenda nilikubali kiukweli tulipendana sana na nilijitahidi kumpa kile anachokitaka japo sio kikubwa lakini kilimtosheleza kwa kua alikua bado mwanafunzi lakini alikua akinipigia cm karibu Mara 3 kwa siku lakini siku hizi amekua busy na marafiki zake akichati na marafiki zake kwenye mitandao ya kijamiii inapita siku nzima hanipigii cm hanitumii msg yani upendo umeshuka na sio kama a wali na kinachoniuma sijala hata tunda JE KWA MABADILiKO HAYO A NANiPENDA KWELI?
 
Tunda limeshatunguliwa na wengine,shukran kwako kwa kulistawisha mpaka linone....
 
Ni wakati wake huu muwache afanye,akiruka steji atakuja kusumbua ukubwani.
 
Usiogope, wala usishtuke , bora umeona mwenyewe ..mpotezeee memory yake ya ubongo ndo imejiupdate. Geukia kwingine
 
hakuna tendo la ndoa kwa ambao sio wanandoa. acha kuipamba zinaa.
aliipenda waleti yako wakati anasoma. kamta mwenye ngawila zaidi yako.

huyo sio wako, tafuta mwingine fasta ila usfanye zinaa hadi mfunge ndoa.
 
Kuna msichana nampenda sana na nimekua nae takriban miaka 2 sasa wakati naanza nae mahusiano alikua amemaliza kidato cha 4 lakini alinikubalia kwa sharti Moja kwamba hatoshiriki tendo LA ndoa na Mimi mpaka atakapomaliza kidato cha 6 kwakua nilikua nampenda nilikubali kiukweli tulipendana sana na nilijitahidi kumpa kile anachokitaka japo sio kikubwa lakini kilimtosheleza kwa kua alikua bado mwanafunzi lakini alikua akinipigia cm karibu Mara 3 kwa siku lakini siku hizi amekua busy na marafiki zake akichati na marafiki zake kwenye mitandao ya kijamiii inapita siku nzima hanipigii cm hanitumii msg yani upendo umeshuka na sio kama a wali na kinachoniuma sijala hata tunda JE KWA MABADILiKO HAYO A NANiPENDA KWELI?

Ipo siku humu tutawashauri hadi watoto wetu wa kuwazaa bila kujua.
Hili jukwaaa siku hizi!!
 
Naomba namba yake nmechane live anavyofanya sio vizuri mmetoka mbali!!
 
Pole sana lakini kumbuka mapenzi si kumngojea mwenzio akufanyie kitu Kama yeye hajapiga je wewe ulimpigia Simu akashindwa kupokea Katika mapenzi usihishi kwa mazoea wala usipende kumtegea mwenzako akuanze aidha MSG au Simu au chochote ukiona Kimya anza wewe umsikie anasemaje
 
Naomba namba yake nmechane live anavyofanya sio vizuri mmetoka mbali!!

Ni sawa lakini je yeye alipoona Kimya amempigia au anasubiria kila siku amuanze yeye Kama mtu na mwanaye Lazima mtoto amuanze baba shikamoo then marahaba
 
Pole ila vuta subira yawezekana anakupenda!

Kweli kabisa yawezakana anampenda angetulalamikia siku hizi apokei Simu wala kujibu MSG hapo sawa ye analalamika siku hizi apigi Simu wala kutuma MSG je yeye amepiga haijapokelewa au MSG haijajibiwa
 
Piga chini endelea na maisha yako tu ....kwa nini kujipa stress
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom