kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,419
- 3,388
Mimi katika kutafuta kazi nilibahatika kufanya kazi kwa Dada mmoja hivi,Leo nina siku ya 23 kwanzia nianze,cha ajabu boss wangu kaleta mfanya kazi mwingine na kaniambia Mimi nisifanye kazi nikae tu,jana kaja na nguo na viatu kanigea
Kamwambia yule mfanyakazi mwingine awe anasikiiza Mimi,hela ya matumizi naachiwa Mimi,mfanya kazi kaambiwa Mimi nikisema hafai na kazi imeisha, sijaelewa jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamwambia yule mfanyakazi mwingine awe anasikiiza Mimi,hela ya matumizi naachiwa Mimi,mfanya kazi kaambiwa Mimi nikisema hafai na kazi imeisha, sijaelewa jamani
Sent using Jamii Forums mobile app