Naombeni ushauri jamani juu ya mpenzi wangu

Naombeni ushauri jamani juu ya mpenzi wangu

Wakuchanja

Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
82
Reaction score
54
Mimi nina mpenz wang ambae hatuishi pamoja yeye anakaa kwao na mimi nakaa geto.

Huwa ana kuja mara kwa mara geto lakini tukifikia kwenye swala la kusex huwa hataki nimvue nguo za juu(shidilia). Mwanzo niliona labda anaona aibu lakini kadri siku zinavozidi songa hiyo hali inanichosha

Msaada plz
 
Kaa nae chini ongea nae ni kwann hataki

Pia hamuogi pindi mkimaliza kukutanisha vikojoleo vyenu?

Na kumuandaa unachezeaga tu chini, mtindi uo hunyoji? Au kutomasa tomasa

Mwisho umri wake miaka mingap labda anaogopa utazichosha mapema chuchu zake, ni saa sita?
 
Anaogopa utamnyonya matiti,
So we unachotakiwa ni kujali anachokupa utumie suala la kuvua nguo mwachie yy, siku akiona ni poa akuruhusu umvue basi fanya hivyo
 
anaogopa Matiti kuwa ndala kabla ya kuolewa kwa hiyo hataki uyashike shike au kumnyonya yataanguka na home watajua kuwa ameshaanza mchezo wewe chimba shimo ulilokabidhiwa huko kwingine achana nako
 
Nunua pakti ya Maziwa mtind au fresh mkianza kugegedana anza kunyonya pakti yako ya maziwa huku unaedlea na gegedo
 
Aiseeeh daaah umenikumbusha kitu mkuu kuna kipindi fulani nilipata manzi kama huyo nilishangaa hataki kabisa kuvua sidiria game mbili za mwanzo nilikubali bila kumvua
game la tatu niliforce nikamvua kwa nguvu alinuna alivyotoka hapo hakurudi tena nikimwambia aje hataki nikampotezea mazima sijui ni uchawi wao ama nini!!!!!
 
Back
Top Bottom