Nime Jaribu Kukufuatiria Kwa Karibu Sana Huenda Habar Hii Ikawa Ya Kweli ,na Hum Jf Ww Simzoefu Kuhusu Uandish Ni Suala La Kawaida Na Ambalo Lina Rekebishika , Na Rudi Kwenye Mada Kwanza Nikupe Pole Kwa Yote Yaliyo Kukuta Ila Kaa Ukijua Kumsahau Mtu Ambaye Alikuwa Karibu Nawe Ni Kaz Sana Ikiwa Unajua Yupo Na Yuhai Bora Angekuwa Amekufa Ungemsahau Kumuradhi Si Muombei Kufa, Ushauri Wangu Jaribu Kumtafuta Mtu Ambaye Atakuwa Karibu Nawe Na Sibinti Huyo,,mtu Atakaye Kuwa Karibu Nawe Haija Rishi Ni Wakiume Au Wakike.Ili Mradi Tu Anakufanya Usipate Mda Mrefu Wakufikiria Kukaa Peke yako Huku Ukiwa Na Mawazo Unaweza Kupata Vidonda Vya Tumbo Pia Uwezo Kujiua Nimkubwa Sana. Ni Hayo Tu,
Mkuu dudu zinazaliwa kila siku. Tafuta mwingine atakaeutuliza moyo wako.
Lakin ongera kwa kujua kupenda mkuu.
Mkuu, hapo njia rahisi ni kuukubali ukweli. Kubali kwamba ni kweli binti amekuacha na amepata mwingine na upo tayari kuanzisha maisha mapya bila yeye. Ukicomplicate utaumjza moyo wako.
Muombe MUNGU akupe ujasiri, uvumilivu na amani moyoni. Then kaa ktk mpango wa Mungu naye atakupa cha kufanya.
Pamoja na yote jitahidi kuandika kwa kufuata kanuni za uandishi bora. Unatupa tabu kusoma!!
POLE SANA.
Mkuu mwaka ni mwingi aisee... usiniambie haujaendelea na maisha yako..??!!,.... ushauri ni wewe kuendelea na maisha achana na huyo mwanamke maana mwenye kosa sio hao vijana wajanja ni huyo mwanamke ameshindwa kujua upendo hupimwa na nini...
achana nae, kisicho ridhiki hakiliki, ni wakati wako sasa wa kunuomba MUNGU akupe mke mwema......