Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Pole sana mpenz,jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati nzuri kapokea ila kila analo liongea tofauti naninavyo muuliza machale yakenicheaa nikamwambia niambie unanipenda au unikiss sikaaniambia kiluga bahatinzuri wote niluga moja nikamwambia niambie kiswahili sikangoma anazuga sasa nikajakusikia sauti ya mdada anaogea etichumbani umekimbia nini kunakungini alafu unaongea nanai nipe hiyo sm huyu mkaka alishindwa kukatasim ilipitakama dakika 2 akakatasimu nilipigailesm kama call30 hakupokea badae ananipigiacm anacho nieleza simuelewi hapanimechoka na mahari kashatoa mumesimtaki tena kumuona japo ananiambia tuonane je kunajipya hapo eti ;
nisaidieni kwamawazo jamani.
Nakushauri utulize akili kwanza,steji mliofikia ni ngumu na ina majaribu mengi sana,
Si kwake tu na kwako pia,
Kabla hujaamua lolote mwombe mungu akuondolee hiyo hasira na chuki uliyonayo moyon then nenda kamsikilize,
Usije ukatoa jibu siku hiyo hiyo coz linaweza kuwa la hasira,jipe mda wa kuyatafakari aliyokwambia kwa kina,
Ikumbuke safari yenu ilipoanzia mpaka mlipofikia sasa,mmepitia mangapi,je hilo kosa linajirudia au ndio limeanza,
Kwa vile ww ndie unamjua mtu wako na atakayo kumbia utajua ni kweli au la,km hutapata majibu sogezen harusi mbele,
Ili upate mda wa kujiridhisha moyo wako naye pia ataona namna ulivyomakini na hauko tayari kuyarisk maisha yako,
NB,Hata km utamwacha huyu na stili una nia ya kuolewa jipange mapema huko ndoan kuna makubwa na machungu zaidi ya hayo na hapatokeki kirahisi.