Naombeni msaada wenu

Naombeni msaada wenu

buchi

Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
22
Reaction score
1
Kuna binti nimempenda sana na nimejaribu kuongea naye hajakataa wala kukubali,bali kaniambia kuwa kinachomchanganya ni dini yeye ni msabato mm ni mroma. Ndg zangu naombeni msaada wenu nifanyeje maana nampenda sana
 
Kuna binti nimempenda sana na nimejaribu kuongea naye hajakataa wala kukubali,bali kaniambia kuwa kinachomchanganya ni dini yeye ni msabato mm ni mroma. Ndg zangu naombeni msaada wenu nifanyeje maana nampenda sana

Kipenda roho hula nyama mbichi; badili dini faster
 
Samahani sana napenda kujua tofauti ya msabato na mroma ni ipi? Naweza kumjua kwa kumuangalia tu kwa macho?
 
Kuna binti nimempenda sana na nimejaribu kuongea naye hajakataa wala kukubali,bali kaniambia kuwa kinachomchanganya ni dini yeye ni msabato mm ni mroma. Ndg zangu naombeni msaada wenu nifanyeje maana nampenda sana

"Humpendi" wewe
Kama "ungekuwa" unampenda usingekuja hapa

Unakijua cha kufanya kama "unampenda"!
 
Samahani sana napenda kujua tofauti ya msabato na mroma ni ipi? Naweza kumjua kwa kumuangalia tu kwa macho?

Wasabato wanaabudu jumamosi
Wakatoliki jumapili

WAsabato hawaitambui Krismas wala Easter
Wakatoliki ndio siku kuu za muhimu

Wasabato wanakana uwepo wa sanamu ya chochote
Wakatoliki wanakubaliana kuwepo kwa sanamu za wafuasi wa "Yesu" na "Yesu" mwenyewe

Wasabato hawakubaliani na suala la kumuomba Mariam mama wa Yesu
Wakatoliki wanakubaliana nalo

Wasabato wanaamini Papa ni Mpinga Kristo
Wakatoliki wanamchukulia kama halifa wa Mtume "Petro" duniani na "Yesu"

Wasabato hawakubaliani na sala za kuwaombea wafu
Wakatoliki wanakubaliana na hilo

Kwa uchache zinakutosha hizo kumshauri huyo jamaa!!!!!
 
Wasabato wanaabudu jumamosi
Wakatoliki jumapili

WAsabato hawaitambui Krismas wala Easter
Wakatoliki ndio siku kuu za muhimu

Wasabato wanakana uwepo wa sanamu ya chochote
Wakatoliki wanakubaliana kuwepo kwa sanamu za wafuasi wa "Yesu" na "Yesu" mwenyewe

Wasabato hawakubaliani na suala la kumuomba Mariam mama wa Yesu
Wakatoliki wanakubaliana nalo

Wasabato wanaamini Papa ni Mpinga Kristo
Wakatoliki wanamchukulia kama halifa wa Mtume "Petro" duniani na "Yesu"

Wasabato hawakubaliani na sala za kuwaombea wafu
Wakatoliki wanakubaliana na hilo

Kwa uchache zinakutosha hizo kumshauri huyo jamaa!!!!!

Kwa ufafanuzi huu Wasabato wako wrong
 
Kwa ufafanuzi huu Wasabato wako wrong

Wako wrong kivipi?
Kwa mijibu gani?

Halafu ulikuwa unahitaji tofauti ili ukosoe kundi moja au ulihitaji tofauti ili umshauri huyo mwenye mada cha kufanya??
 
Wako wrong kivipi?

Halafu ulikuwa unahitaji tofauti ili ukosoe kundi moja au ulihitaji tofauti ili umshauri huyo mwenye mada cha kufanya??

Me nilitaka nijue tofauti zao kwanza. Asante kwa maelezo.
 
Acha mambo ya ajabu! sasa unategemea tukusaidieje kuhusu imani ya mtu? kubadili dini kwaajili ya binadamu mwenzio ni kumkana Mungu wako na kumtukuza binadamu!!!!!!!!!!!!1
 
Back
Top Bottom