chavalla
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 451
- 353
Nitatatizo na aina hii ya mdudu anasumbua Sana shambani kwa anaejua dawa ya kumuua maana nimehangaika Sana nimetumia dawa Kama sala naka na aina nyingine lakini hafi.
Sasa naombeni kwa anaejua dawa yake. Mdudu huyu ni mbaya sana anakula kwanzia nyanya michê ya mihogo mahindi na matikiti yaani ni muatibifu sana.. natanguliza shukrani kwenu wadau. Nawakilisha hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa naombeni kwa anaejua dawa yake. Mdudu huyu ni mbaya sana anakula kwanzia nyanya michê ya mihogo mahindi na matikiti yaani ni muatibifu sana.. natanguliza shukrani kwenu wadau. Nawakilisha hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app