Smile kisheria talaka haitolewi kwa kuomba tu "nipe talaka yangu" kama ilivyo kwa baadhi ya desturi. Inabidi huyo dada aanze divorce proceedings kwa kuchukua hatua za mwanzo kabisa za baraza la upatanishi wa ndoa (Marriage Conciliation Board). Huko mwanaume ataitwa na wanabaraza watawapatanisha, kwa vile mume anasema bado anampenda mkewe watatakiwa kurudiana.
Hapo kwenye baraza la wapatanishi ndio penye tatizo...hivi kweli watu mmetengana miaka miaka miwili, no feelings anymore, pengine mnachukiana...kuna upatanishi hapo!? Na kama hatutaki kupatana, tunataka kuachana kila mmoja ashike hamsini zake bado hao wanabaraza watapoteza time yao kuwapatanisha...ooops, they are paid to waste their time au siyo!
Kwa nini mwanamke anayenyanyasika hasiweze pata talaka na stahiki zake akaishia zake huko kuendelea na maisha yake!
Ni kweli kama lengo ni talaka huwa ngumu sana kupitia kanisa.
Huyo mwanaume hawezi tu kusema anampenda mke wake wakati hataki kuishi nae. Wamekuwa katika separation kwa miaka 2, hawashiriki katika tendo la ndoa sasa atang'ang'aniaje kuwa anampenda? Inabidi huyo dada ajieleze vizuri kwanini anaona ndoa yao ni irreparably broken and thus warranting divorce.
legally speaking huyo mdada anazo grounds za kutosha za kupata haki yake lakini kitu anachotakiwa kujua kwamba mahakama za Tanzania hazipendelei kuvuja ndoa..inabidi hiyo ndoa ifikie stage inaitwa broken down irrepairable...halafu vile vile kesi hizi zina tendency ya kuchukua muda mrefu 4-8 yrs hivi...kila mahali keshapita,anataka kujua kesi kama hii kisheria imekaaje mkuu
mi nipo pouwa
Hapo kwenye baraza la wapatanishi ndio penye tatizo...hivi kweli watu mmetengana miaka miaka miwili, no feelings anymore, pengine mnachukiana...kuna upatanishi hapo!? Na kama hatutaki kupatana, tunataka kuachana kila mmoja ashike hamsini zake bado hao wanabaraza watapoteza time yao kuwapatanisha...ooops, they are paid to waste their time au siyo!
Kwa nini mwanamke anayenyanyasika hasiweze pata talaka na stahiki zake akaishia zake huko kuendelea na maisha yake!
Hizi ndio taratibu zilizo wekwa mkuu Riwa! Lazima baraza lijilizishe kuwa hii ndoa haiwezi kuendelea ndio taratibu za kufile devorce zianze! Na huwezi kupata haki ya kupewa talaka kama hujapitia hapo! Na haya mabaraza yapo kuhakikisha ndoa hhazivunjwi bila sababu za msingi maana wanacho fanya ni kujaribu kuokoa ndoa!
Sasa hapo kwenye kutengana miaka miwili ndio sababu huyo dada ana takiwa kwenda nazo ili kuhakikisha ndoa inavunjwa,maana na hapo hawshiriki tendo na kama alikuwa ana nyanyaswa hayo yote atayaeleza kule ili wao waone hii ndoa imeshindikana, kumbuka na mwanaume atakuwepo kujitetea!
Yes, tunaenda fishing
Ila sina hakika 'fish' ni nani kati yetu
You better find out sooner than later.
Nadhani uthibitisho huo unamtosha aende tu mahakamani akadai talaka.mwanaume alimshutumu wife kutokuwa mwaminifu akamfukuza bila hata nguo,na kagoma kumrudisha hadi leo.