Naombeni msaada tafadhali

Naombeni msaada tafadhali

mushijack

Member
Joined
Feb 19, 2011
Posts
8
Reaction score
4
Habarini za humu ndani, nimekuja humu ndani nahitaji msaada wenu. Nimuajiriwa na nimekaa kwenye ajira muda mrefu sana na binti + single na kwa sasa nimechukua maamuzi ya kwenda nje, USA, Canada, Australia, Sweden, Norway au UK. Najua wapo wanaosoma hapa wana experience na hizo nchi tafadhali kama unahabari za kusikia tu naomba usinishauri.

Najua natakiwa kwenda kwa kusoma, kuvisit, matibabu au partner sasa kwa upande wangu nimefikiria nikachukue masters ila kila nikisoma masharti ya student naona ni magumu mno kuishi hizo nchi kama student, je kuna uwezekano nikaweza kwenda kama hata mfanyakazi wa ndani? Jamani haya ni maamuzi binafsi kabisa na najua tabu ya huko kwa wenzetu ila kiukweli kwa sasa nahitaji kwenda kama nitapata mtu anaweza kunipa mbinu ya kunisaidia kwenda bila kuwa student nitashukuru sana.

Natanguliza shukrani za dhati kwa wale wote walioko tayari kunisaidia. Tafadhali kama unaona kwako limekaa kushoto sana naomba usinikatishe tamaa.
 
Hata sijaelewa ngoja nipishe waje watakaoelewa wakusaidie

anasema yuko radhi kwenda hata kuwa mfanyakazi wa ndani ulaya...ila kwa sasa anataka mtu wa kumsaidia kwenda bila kuwa student... of which kwa sababu hajaipata iyo kazi already au scholarship zinabaki altertenative 2
- abebe sembe
- atafutiwe partner wa kizungu
kwaiyo sijui we utamshaurije hapo..
 
Habarini za humu ndani, nimekuja humu ndani nahitaji msaada wenu.

Nimuajiriwa na nimekaa kwenye ajira muda mrefu sana........

na binti + single na kwa sasa

nimechukua maamuzi ya

kwenda nje, USA, Canada,

Australia, Sweden, Norway au UK

sasa kwa upande wangu nimefikiria nikachukue masters................
.........
kuna uwezekano nikaweza kwenda kama hata mfanyakazi wa ndani? .......
.....................kama nitapata mtu anaweza kunipa mbinu ya kunisaidia kwenda bila kuwa student nitashukuru

Wewe ni mwajiriwa muda mrefu

Na binti+ single ndo nini?????

Unataka kwenda kusoma masters si uende?

Kwani nani kakwambia nchi hizo watu hawaendi kusoma?

Unaacha kazi alafu Unataka kazi ya houseboy? au una experience ya U-houseboy?

Jitambue.





KAGONGWA KAHAMA
 
Kila kitu linawezekana na wala usikate tamaa! Ushauri wangu Ni Kuwa ukienda as student in Norway nadhani later ndoto zako zinaweza kutimia. Kama uta hitaji kujua zaidi unaweza Ni pm! Otherwise nikutakie kila lakheri !


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Single namaanisha naweza kumove popote duniani bila kipingamizi chochote.
Yes nataka kwenda kusoma ila Sitaki niende na Visa ya student umenipata
Nina malengo yangu cha muhimu nahitaji msaada kwa anayeweza kunishauri jinsi
ya kupata visa ingine. Kama siyo muelewa sioni sababu ya ku comment
 
Habarini za humu ndani, nimekuja humu ndani nahitaji msaada wenu. Nimuajiriwa na nimekaa kwenye ajira muda mrefu sana na binti + single na kwa sasa nimechukua maamuzi ya kwenda nje, USA, Canada, Australia, Sweden, Norway au UK. Najua wapo wanaosoma hapa wana experience na hizo nchi tafadhali kama unahabari za kusikia tu naomba usinishauri.

Najua natakiwa kwenda kwa kusoma, kuvisit, matibabu au partner sasa kwa upande wangu nimefikiria nikachukue masters ila kila nikisoma masharti ya student naona ni magumu mno kuishi hizo nchi kama student, je kuna uwezekano nikaweza kwenda kama hata mfanyakazi wa ndani? Jamani haya ni maamuzi binafsi kabisa na najua tabu ya huko kwa wenzetu ila kiukweli kwa sasa nahitaji kwenda kama nitapata mtu anaweza kunipa mbinu ya kunisaidia kwenda bila kuwa student nitashukuru sana.

Natanguliza shukrani za dhati kwa wale wote walioko tayari kunisaidia. Tafadhali kama unaona kwako limekaa kushoto sana naomba usinikatishe tamaa.

Shule ya kata utawajua na divisition 5
 
Shule ya kata utawajua na divisition 5

Nashukuru kwa kuchangia, rafiki yangu mi maisha napambana nayo sana hapa bongo na kuhusu elimu nami nimmojawapo wa waliosoma usione mtu na malengo yake sasa na wewe unataka kuweka negativity zako.
Usitake niwaze au niwe na malengo kama yako elewa tumetofautiana
 
Habarini za humu ndani, nimekuja humu ndani nahitaji msaada wenu. Nimuajiriwa na nimekaa kwenye ajira muda mrefu sana na binti + single na kwa sasa nimechukua maamuzi ya kwenda nje, USA, Canada, Australia, Sweden, Norway au UK. Najua wapo wanaosoma hapa wana experience na hizo nchi tafadhali kama unahabari za kusikia tu naomba usinishauri.

Najua natakiwa kwenda kwa kusoma, kuvisit, matibabu au partner sasa kwa upande wangu nimefikiria nikachukue masters ila kila nikisoma masharti ya student naona ni magumu mno kuishi hizo nchi kama student, je kuna uwezekano nikaweza kwenda kama hata mfanyakazi wa ndani? Jamani haya ni maamuzi binafsi kabisa na najua tabu ya huko kwa wenzetu ila kiukweli kwa sasa nahitaji kwenda kama nitapata mtu anaweza kunipa mbinu ya kunisaidia kwenda bila kuwa student nitashukuru sana.

Natanguliza shukrani za dhati kwa wale wote walioko tayari kunisaidia. Tafadhali kama unaona kwako limekaa kushoto sana naomba usinikatishe tamaa.

Kama una lengo kweli la kusoma masters nenda as a student.
Masters ni muda mfupi sana na ukimaliza nchi nyingi including Uk wanakupa visa ya kufanyakazi up tp two yrs.
Mpaka hapo unaweza kutimiza malengo yako yote mawili lakini sikushauri uache kazi[natumaini una kazi nzuri] hapa bongo uende ukawe housegirl...i've been there done that i know what im talking about.
 
Maisha ni kuchagua sio kupanga,ukichagua vizur utawaona walio kosea kauzu,ukikosea utaona mbele giza.msaidien waungwana?
 
unajificha ficha sana hauko wazi... mtu kama wewe unatia mashaka...unataka kusoma lakini hutaki visa ya student....??????!!!!!®€£^°<&#8457;‘‘’™
 
Kama una lengo kweli la kusoma masters nenda as a student.
Masters ni muda mfupi sana na ukimaliza nchi nyingi including Uk wanakupa visa ya kufanyakazi up tp two yrs.
Mpaka hapo unaweza kutimiza malengo yako yote mawili lakini sikushauri uache kazi[natumaini una kazi nzuri] hapa bongo uende ukawe housegirl...i've been there done that i know what im talking about.

Nashukuru sana kwa ushauri wako ndugu yangu ni kweli nina kazi nzuri tu hapa bongo ila mashirika binafsi hawakubali ukasome 1-2yrs halafu urudi wanakuambia umejifukuzisha kazi. Nilisajaribu kuongea na HR kama nitaweza pata likizo bila malipo nikakataliwa. Na lengo langu kwenda kule siyo kuwa tu HG nataka niwe nasoma pia. Japo kuna mtu pia kani PM niende Marekani au Canada kusoma Masters kama nitaweza pata visa hizo nchi. Maisha yanakuwa si magumu sana kama UK ambapo sina uhakika nayo.
 
Habarini za humu ndani, nimekuja humu ndani nahitaji msaada wenu. Nimuajiriwa na nimekaa kwenye ajira muda mrefu sana na binti + single na kwa sasa nimechukua maamuzi ya kwenda nje, USA, Canada, Australia, Sweden, Norway au UK. Najua wapo wanaosoma hapa wana experience na hizo nchi tafadhali kama unahabari za kusikia tu naomba usinishauri.

Najua natakiwa kwenda kwa kusoma, kuvisit, matibabu au partner sasa kwa upande wangu nimefikiria nikachukue masters ila kila nikisoma masharti ya student naona ni magumu mno kuishi hizo nchi kama student, je kuna uwezekano nikaweza kwenda kama hata mfanyakazi wa ndani? Jamani haya ni maamuzi binafsi kabisa na najua tabu ya huko kwa wenzetu ila kiukweli kwa sasa nahitaji kwenda kama nitapata mtu anaweza kunipa mbinu ya kunisaidia kwenda bila kuwa student nitashukuru sana.

Natanguliza shukrani za dhati kwa wale wote walioko tayari kunisaidia. Tafadhali kama unaona kwako limekaa kushoto sana naomba usinikatishe tamaa.


Inaonekana lengo lako ni kwenda ulaya kwa gia yoyote ile. Unataka kwenda ila hujui nchi ya kwenda na namna ya kwenda! Kifupi hizo ni sifa za watu wasio na malengo!
 
Inaonekana lengo lako ni kwenda ulaya kwa gia yoyote ile. Unataka kwenda ila hujui nchi ya kwenda na namna ya kwenda! Kifupi hizo ni sifa za watu wasio na malengo!

Mimi nina malengo sana usinione mbumbu ndugu yangu, na wapo watu wema wanaojua wamefanikiwa kunielewesha. We endelea kuona wenzio hawana malengo.
 
Back
Top Bottom