Nimeunganishwa na vijihuduma vingi sana vya vodacom either kwa kujua au kwa kutojua na kwasasa nakatwa hela nyingi kwa huduma hizo.
Simu inapobaki na shs 250 naambiwa sina salio la kutosha kupiga simu, no ya huduma kwa wateja haipatikani ili niweze kujitoa kwenye huduma zote isipokuwa zakupiga, kupoke na internet.
Anayefahamu namna ya kujitoa anisaidie tafadhali
Simu inapobaki na shs 250 naambiwa sina salio la kutosha kupiga simu, no ya huduma kwa wateja haipatikani ili niweze kujitoa kwenye huduma zote isipokuwa zakupiga, kupoke na internet.
Anayefahamu namna ya kujitoa anisaidie tafadhali