Naombeni msaada niweze kwenda driving school.

Naombeni msaada niweze kwenda driving school.

Smart phone unayotumia hapa ni shs ngapi?

Na wewe una shs ngapi mkononi?
 
Smartphone inasaidia kufuatilia matangazo ya kazi mkuu kwenye sites mbalimbali
 
Zipo smartphone ukisema uuze hupati hata elfu 50 sio kila MTU ana Samsung.
 
Sijapata kitu ndugu ahsante kwa mchango wako
Kwa ushauri wangu mdogo, anza kwanza kujikusanyia kiasi fulan cha pesa...njoo hapa ukiwa na chanzo chako alaf sie tunafanya kujazia ...huweza omba mchango from zero mdogo wangu....mi ntakuwa wa kwanza
 
kwa ushau

ri wangu mdogo, anza kwanza kujikusanyia kiasi fulan cha pesa...njoo hapa ukiwa na chanzo chako alaf sie tunafanya kujazia ...huweza omba mchango from zero mdogo wangu....mi ntakuwa wa kwanza
Ahsante nitafanya hivyo. noted.
 
Leseni utakayoanzia baada ya kumaliza mafunzo ni class D, labda na class A. class D kupata ajira ni kazi sana kwa sasa, wengi wanataka wenye class C, E. labda class A itakusaidia kufanya kazi ya bodaboda.

Kumuendesha mtu binafsi kwa sasa ni ngumu maana wengi wao pia ni madereva wanajiendesha wenyewe.

Sijaandika kwa lengo la kukukatisha tamaa wala kukatisha malengo yako ila ni kukuweka sawa juu ya matarajio uliyonayo baada ya kumaliza driving school. nina class D, unaenda mwaka sasa sijawahi kutana na nafasi ya kazi ya udereva inayohitaji class D, nyingi ni C na E. WANAOWIWA KUMCHANGIA NDUGU YETU WAFANYE IVYO.
 
Back
Top Bottom