Habari Ndugu Wana JF.
Mim ni kijana ambae nilihitimu kidato cha sita Mwaka 2010.
Ninaish Mwanza, Kutokana na Tatizo gumu la ukosefu wa ajira,na hali ya ugumu wa maisha iliyokithiri.
Ninaomba sana msaada kwa wale ambao wako mwanza, niweze kupata msaada wa kupata kaz yeyote ili kuweza kujikwamua katika hali ngumu ya maisha inayonikabili.
Nina Moyo wa kujituma na uaminifu.
Lakin pia nina uelewa wa Computer,lesen ya udereva. na pia nina uelewa katika taaluma ya sheria japo bado sijamaliza masomo hayo.
Naombeni sana Watanzania wenzangu,wenye uwezo wa kunisaidia,wanisaidie katika hili.
Natanguliza Shukrani za Dhati.
Kazi gani hasa unataka??[/QUO
Kwa jins nilipofikia sasa ki elimu inakua ngumu kuchagua, hvyo niko tayari kupokea msaada wowote utakaoniwezesha kujikimu na ugumu wa maisha.
ila nimetoa huo ustadi niliokua nao japo ni mdogo lakin nina wito wa kujituma katika kaz yeyotw nitakayosaidiwa.
Ahsante
Kazi gani hasa unataka??[/QUO
Kwa jins nilipofikia sasa ki elimu inakua ngumu kuchagua, hvyo niko tayari kupokea msaada wowote utakaoniwezesha kujikimu na ugumu wa maisha.
ila nimetoa huo ustadi niliokua nao japo ni mdogo lakin nina wito wa kujituma katika kaz yeyotw nitakayosaidiwa.
Ahsante
Unaweza kazi ya kuuza duka?
zungukia shule tofauti tofauti utapata kazi ya kufundisha
zungukia shule tofauti tofauti utapata kazi ya kufundisha
BOT wametoa nafasi za kazi, kwa elimu yako jaribu kuomba nafasi ya Messenger waweza pata.