Cosmas Michael
Member
- Apr 19, 2018
- 11
- 2
Line yangu imeibiwa nikawaomba Tigo wai-block ili mwizi asitume meseji kwa watu na Tigo wakaifungia sasa nataka kui-renew Ila nina wiki bado haifanyi kazi mnara unasoma lakini ukipiga unaambiwa line imefungiwa wakati Tigo wenyewe walinipa masaa 48 baada ya hapo line itafanya kazi.
Nimerudi tena Tigo wakasema kwa vile line yangu sikusajili kwa alama ya vidole ndo maana inachukua muda sababu TCRA wameifungia wamenipa masaa mengine bado haifanyi kazi nimeenda tena wamesema nitulie itafanya kazi tu muda ukifika.
Nimerudi tena Tigo wakasema kwa vile line yangu sikusajili kwa alama ya vidole ndo maana inachukua muda sababu TCRA wameifungia wamenipa masaa mengine bado haifanyi kazi nimeenda tena wamesema nitulie itafanya kazi tu muda ukifika.