Wakuu nina dogo langu anataka kurudia mtihani wa private candidate ila ana uliza kuhusu format ya mtihani huo kama una tofauti na ule watakao fanya 4m4 wa sekondari? Je una ugumu
Wakuu nina dogo langu anataka kurudia mtihani wa private candidate ila ana uliza kuhusu format ya mtihani huo kama una tofauti na ule watakao fanya 4m4 wa sekondari? Je una ugumu
Ila kuanzia mwaka jana kinataofauti na miaka mingine, kama anarisit masomo saba atafanya mitihani 14., kwa maana paper 1 na2.. Ni pagumu awe tu seriousy if he ia not serious kufeli njenje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.