Naombeni mnisaidie ushauri wakuu

Naombeni mnisaidie ushauri wakuu

amsr

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
259
Reaction score
303
Me nimemaliza bachelor degree ya computer science in software engineering na sasahivi namalizia ccna baada ya kumaliza oracle database 11g ila lengolangu kubwa nahitaji kuwa network engineer mkubwa ndani na nje ya nchi, nikasema nikimaliza hii ccna niunge na ccnp then ccie halafu ndo nianze michongo ya ajira coz saiv nimejishkiza tu kwenye biashara flani ili nisikose hela za kuingilia hapa jf mpaka ntakapomaliza ccie mungu akipenda..kama kuna ushauri wowote ambao wakuu mnaweza kunipa juu ya hayo nliyokusudia basi karibuni sana
 
Hongera kwa kumaliza degree yako, mitihani ya CCIE inahitaji uzoefu mkubwa katika ulimwengu wa networking ni vema ukafanya kazi na kupata uzoefu wa kutosha (hands-on experience) kabla ya kufanya mitihani hio
 
Kwahi
Me nimemaliza bachelor degree ya computer science in software engineering na sasahivi namalizia ccna baada ya kumaliza oracle database 11g ila lengolangu kubwa nahitaji kuwa network engineer mkubwa ndani na nje ya nchi, nikasema nikimaliza hii ccna niunge na ccnp then ccie halafu ndo nianze michongo ya ajira coz saiv nimejishkiza tu kwenye biashara flani ili nisikose hela za kuingilia hapa jf mpaka ntakapomaliza ccie mungu akipenda..kama kuna ushauri wowote ambao wakuu mnaweza kunipa juu ya hayo nliyokusudia basi karibuni sana
Kwahiyo uko poa kwenye kutengeneza software
 
Hongera kwa kumaliza degree yako, mitihani ya CCIE inahitaji uzoefu mkubwa katika ulimwengu wa networking ni vema ukafanya kazi na kupata uzoefu wa kutosha (hands-on experience) kabla ya kufanya mitihani hio
Asante sana mkuu kwa kunitia moyo ila nahis wewe pia uko kwenye field hiyo ; kwaheshima na taadhima naomba unisaidie uzoefu wako kwenye hilo pia kunionyesha njia kama hutajalj
Nawasilisha mkuu
 
Kwahi

Kwahiyo uko poa kwenye kutengeneza software
Somehow ofcoz ila sikushiriki sana kwenye hilo kama ujuavyo software engineering ilivo na field nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom