NAOMBENI MNISAIDIE NDUGU

NAOMBENI MNISAIDIE NDUGU

Fettyabduly

Member
Joined
Sep 3, 2018
Posts
16
Reaction score
1
Nimemaliza kidato cha sita na kuambulia alama zifuatazo yaani:=
Mathematics D
Geography. D
Economics F
General study F
Ombi langu ni kwamba je!naweza soma elimu ya juu katika kiwango cha shahada ??
Maana vyuo karibu vinne nilivyoomba sijafanikiwa kupata na kama naweza je!nikiaomba katika kozi zilezile naweza fanikiwa ?msaada katika hilo.
 
Pole sana!
Unafaa kuendelea na elimu ya juu (shahada), Assume taifa zima wakapata div 1 ila kuna wachache wakapata 1.9 na idadi yenu haifit kwenye vyuo vyote automaticaly wenye point 9 watakuwa Sorted out..

Namaanisha nini? usinganganie Degree au Kisa Hujapata maksi nzuri basi usome Course yoyote ilimradi ni degree.. Nenda Diploma, tena ukiweza ya kile ulichokitaka kukisomea degree

Bahati Njema!
 
Ww mbona una maks nzuri ivyo. Tatizo umeenda kwenye vyuo vyenye ushindani.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sema unataka kusoma course gani utapata washauri.
 
Pole sana!
Unafaa kuendelea na elimu ya juu (shahada), Assume taifa zima wakapata div 1 ila kuna wachache wakapata 1.9 na idadi yenu haifit kwenye vyuo vyote automaticaly wenye point 9 watakuwa Sorted out..

Namaanisha nini? usinganganie Degree au Kisa Hujapata maksi nzuri basi usome Course yoyote ilimradi ni degree.. Nenda Diploma, tena ukiweza ya kile ulichokitaka kukisomea degree

Bahati Njema!
Ahsante kwa ushauri
 
Niliapply vyuo kama NIT katika kada ya Bs of education in mathematics and information tecnology na ndio kozi niipendayo
EGM ina wigo mpana wa kusoma.
1.account
2.finance
3.tax
4.insurance
5.BBA
6.HR
7.law
8.ualimu course zotee exceptional zile za pcb na pcm

Nakushauri achana na vyuo hivyo cjui NIT utajuta baadae. Soma sheria ingekuwa powa kama ungepata UDSM au Mzumbe lakini unaweza kuwa umechelewa au points haziruhusu ila makumila ni chuo kizuri cha sheria ila hakikisha una perfom vizuri ajira zipo na internships zipo mahakama haijawahi kosa wateja. Demand ya huduma za mahakamani ni kubwa sana kulinganisha na supply ya watumishi, sio leo wala kesho kutwa bado sheria ni nzuri... Jitahidi sana ufaulu vizuri.
Degree ya transport account ya NIT ni kupoteza muda bora usome ifm au tia au iaa n.k... Tax ni nzuri lakin ipo very narrow kwenye soko la ajira
Ualimu ushazikwa hata usijisumbue. Asikudanganye mtu eti usifikilie kuajiliwa, kwa kuwa ni bora sasa upambane na kitu chenye wigo wa ajira angalau badae uta fight hata mwaka mmoja lakin utapata kuliko kusoma kitu ambacho hakita kusaidia kabisa mbeleni.


Nina mengi jamaa angu ya kukushauri. Ni PM nahisi nina kitu cha kukusaidia.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemaliza kidato cha sita na kuambulia alama zifuatazo yaani:=
Mathematics D
Geography. D
Economics F
General study F
Ombi langu ni kwamba je!naweza soma elimu ya juu katika kiwango cha shahada ??
Maana vyuo karibu vinne nilivyoomba sijafanikiwa kupata na kama naweza je!nikiaomba katika kozi zilezile naweza fanikiwa ?msaada katika hilo.
Mkuu hapo una point 4 ambazo zinakuruhusu kuomba chuo kikuu. Angalizo ufaulu wako ndio wa chini kabisa hivyo ukitaka chuo kikuu lazima uangalie program ambayo haina ushindani na capacity yake ni kubwa (wako tayari kuchukua wanafunzi wengi). Uombe vyuo vya kutosha tuseme 4-5.
Lakini pia kama ulivyoshauriwa uombe program za diploma kwani D mbili inakuwa mtaji mkubwa. Ukichaguliwa kokote au zaidi ya vyuo viwili utafanya maamuzi.
 
EGM ina wigo mpana wa kusoma.
1.account
2.finance
3.tax
4.insurance
5.BBA
6.HR
7.law
8.ualimu course zotee exceptional zile za pcb na pcm

Nakushauri achana na vyuo hivyo cjui NIT utajuta baadae. Soma sheria ingekuwa powa kama ungepata UDSM au Mzumbe lakini unaweza kuwa umechelewa au points haziruhusu ila makumila ni chuo kizuri cha sheria ila hakikisha una perfom vizuri ajira zipo na internships zipo mahakama haijawahi kosa wateja. Demand ya huduma za mahakamani ni kubwa sana kulinganisha na supply ya watumishi, sio leo wala kesho kutwa bado sheria ni nzuri... Jitahidi sana ufaulu vizuri.
Degree ya transport account ya NIT ni kupoteza muda bora usome ifm au tia au iaa n.k... Tax ni nzuri lakin ipo very narrow kwenye soko la ajira
Ualimu ushazikwa hata usijisumbue. Asikudanganye mtu eti usifikilie kuajiliwa, kwa kuwa ni bora sasa upambane na kitu chenye wigo wa ajira angalau badae uta fight hata mwaka mmoja lakin utapata kuliko kusoma kitu ambacho hakita kusaidia kabisa mbeleni.


Nina mengi jamaa angu ya kukushauri. Ni PM nahisi nina kitu cha kukusaidia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante ntakutafuta ndugu
 
Nitajari
Mkuu hapo una point 4 ambazo zinakuruhusu kuomba chuo kikuu. Angalizo ufaulu wako ndio wa chini kabisa hivyo ukitaka chuo kikuu lazima uangalie program ambayo haina ushindani na capacity yake ni kubwa (wako tayari kuchukua wanafunzi wengi). Uombe vyuo vya kutosha tuseme 4-5.
Lakini pia kama ulivyoshauriwa uombe program za diploma kwani D mbili inakuwa mtaji mkubwa. Ukichaguliwa kokote au zaidi ya vyuo viwili utafanya maamuzi.
Kuomba kwa mara ya pili ili nione kama nitafanikiwa.. Endapo nitashindwa basi sina budi kuomba diploma
 
Nitajari

Kuomba kwa mara ya pili ili nione kama nitafanikiwa.. Endapo nitashindwa basi sina budi kuomba diploma
Ni vizuri ukiomba vyote sasa kwani diploma (NACTE) nao watafunga udahili karibuni. Jaribu kucheck tarehe zao ukipata zote unachagua.
 
Back
Top Bottom