Mwanyamaki's Son
New Member
- Dec 29, 2012
- 3
- 0
Habari wana Jf,
Naombeni mawazo yenu. Mie ni kijana mwenye umir wa miaka 21, najiandaa kuingia kidato cha 6. Nina mpenzi wangu ambae tupo umris sawa na nimeshawahi kufanya nae sex.
Ikifika mwezi wa tatu ndipo naenda shule na kujiunga shule ya bweni. Nimemuomba siku ya kuagana tufanye tena sex ila yeye hataki akidai kuwa anaumia tukifanya.
Nisaidieni mawazo yenu, namna gani nakabiliana na hii hali?
Naombeni mawazo yenu. Mie ni kijana mwenye umir wa miaka 21, najiandaa kuingia kidato cha 6. Nina mpenzi wangu ambae tupo umris sawa na nimeshawahi kufanya nae sex.
Ikifika mwezi wa tatu ndipo naenda shule na kujiunga shule ya bweni. Nimemuomba siku ya kuagana tufanye tena sex ila yeye hataki akidai kuwa anaumia tukifanya.
Nisaidieni mawazo yenu, namna gani nakabiliana na hii hali?