Naombeni mnisaidie ishu hii nzito

Naombeni mnisaidie ishu hii nzito

tanzanianboy

New Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
4
Reaction score
1
Shida yangu ni jinsi ya kuondoa password kwenye Pc (Dell,latitude:630) ni bios password kwani nimejaribu kutoa cmos but haikutoka,naombeni msaada wenu.
 
Shida yangu ni jinsi ya kuondoa password kwenye Pc (Dell,latitude:630) ni bios password kwani nimejaribu kutoa cmos but haikutoka,naombeni msaada wenu.
Huku kwenye Habari na Hoja Mchanganyiko ni shida kupata msaada kwani wataalamu wengi wa kompyuta hawapitii
hiumu. Peleka post jukwaa la Tech, Science and Gadgets akina C6 na chief mkwawa et al wakusaidie.
 
iloweke kwenye maji nusu saa itatoka tu. ila humu si mahala husika nenda jukwaa la vichwa wa computer science. jukwaa la technology.
 
Back
Top Bottom