Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,920
- 3,753
Mwenye dada hakosi shemeji mpe sifa kijana apate kipozeo pengine atanogewa!Saa hizi saa 11 asubuhi unawaza umalaya kijana wa hovyo kabisa
ni muhimu zaidi kua na mahusiano na mtu unaempenda nae akupende, mwenye heshima, staha, adabu na utii kwako, kwa ndugu, jamaa, marafiki na jamii nzima inayokuzunguka.Nipo zangu huku dodoma kwenye harakati za hapa na pale.Ila mademu wapo vizuri tatizo n maushamba ila cio sana.
ila kuna demu wakigogo nmemuona mazingira flan nmemmaind kinyam.ila kabla ya hayo wadau nilkuwa nataka mnp sifa zao nsj nikajizingua.
umenena vyema mkuuni muhimu zaidi kua na mahusiano na mtu unaempenda nae akupende, mwenye heshima, staha, adabu na utii kwako, kwa ndugu, jamaa, marafiki na jamii nzima inayokuzunguka.
kua na mahusiano na sijui ugogo wa mtu, usukuma, uchaga au upare, tena kwa kusaidiwa na wadau, itakuchanganya tu na huenda unashirikisha watu wa kushare na wewe masuala ya mahusiano na pengine ndoa kabisa.
ni muhimu zaidi kujitegemea
πππππ’π€£π πββοΈππππWengi wao usafi kwao ni 0 nje na ndani ya nyumba. Uvivu kwao ni jadi.
Oop Yaani Uliposema Tu Boma, Lawate, Fuka, Namwai, West Kilimanjaro, Sanya JuuKama hauna sababu za msingi usioe mgogo wala mchaga
Si ona umu jf wanaosumbua na kuongea ongea ni wanawake wa kaskazni soon watashambuliaa uzi wakoOop Yaani Uliposema Tu Boma, Lawate, Fuka, Namwai, West Kilimanjaro, Sanya Juu
Ngare Nairobi, Ngare Nanyuki
Sasa Mkuu Ulimaanisha Nivunje Ndoa Ama Sababu Gani