Naombeni mnijuze faida za kuroot simu apa nina tecno n3.,,

yaani hapa nilipo mwenyewe nataka ku root,nipe njia basi,ila ku root kuna faida nyingi sana
 
kama unatumia android na cimu yako ina ram 512 mb ukiroot kwenda kwenye jely bean basi ujue cmu yako itakuwa slow sana,so kwa kesi hiyo si advice watu wa root hapo
 
kama unatumia android na cimu yako ina ram 512 mb ukiroot kwenda kwenye jely bean basi ujue cmu yako itakuwa slow sana,so kwa kesi hiyo si advice watu wa root hapo

Hapa mkuu umechanganya mambo,unaposema kuroot na kuupgrade simu kwenda android os ya jelly beans ni vitu viwili tofauti.
Ila kiufupi kuroot ni kuifanya simu ikupe ruhusu ya kubadilisha baadhi ya settings na kuaccess ndani ya simu yako sehemu ambazo kwa kawaida mtumiaji haruhusiwi kuingia au kuzibadilisha mfano cpu clock speed(kuiongeza huifanya simu iwe na spidi sana lakini hula chaji sana),kufungua mafaili ya ndani kabisa ya operating system(kuyabadili na kuyafuta),kuunistall orginal programs zinazokuja na simu na kadhalika.
 
Uzuri wa kuroot simu ni kwamba kuna baadhi ya applications zinahitaji root access ili ziweze kufanya kazi mfano baadhi ya file manager,batter savers na usb tethering apps(kwa simu zisizosupport),pia husaidia kuongeza features nyingi tu ambazo simu haisupport initially.
Ubaya wa kuroot ni kwamba warranty au guarrantee ya simu ndo inakuwa imeexpire baada ya kuroot.Hasara kubwa ni simu kuweza kuharibika moja kwa moja wakati wa kuroot.
Njia rahisi ya kuroot ni kutumia z4root.apk (an android application inayopatikana kwenye android market,au unaweza kuigoogle na kuidownload,uzuri wake haiiitaji uwe na pc..inamaliza kazi yenyewe)
 
Uzuri wa kuroot simu ni kwamba kuna baadhi ya applications zinahitaji root access ili ziweze kufanya kazi mfano baadhi ya file manager,batter savers na usb tethering apps(kwa simu zisizosupport),pia husaidia kuongeza features nyingi tu ambazo simu haisupport initially.
Ubaya wa kuroot ni kwamba warranty au guarrantee ya simu ndo inakuwa imeexpire baada ya kuroot.Hasara kubwa ni simu kuweza kuharibika moja kwa moja wakati wa kuroot.
Njia rahisi ya kuroot ni kutumia z4root.apk (an android application inayopatikana kwenye android market,au unaweza kuigoogle na kuidownload,uzuri wake haiiitaji uwe na pc..inamaliza kazi yenyewe)

utajuaje kama sim ipo rooted....?
 
Yani ukiamua kutaka ku root jiandae na kupoteza cm, ingawa ukifanikiwa cm yako inakuwa balaa, yani unaweza amua kutoa program usizotaka, (huitwa bloatware) mfano kama huna mpango na opera mini, au you tube, au program yoyote ucyoitaka, unaitoa (ambayo kwa kawaida huwez kuitoa, sbb huwa inakuwa haipo katika list ya apps za cm), ukifanikiwa kuroot, utagundua kwa sbb kuna 'icon' inaongezeka, mara nyng huandikwa 'superuser' au superSU, ingawa hutegemea aina ya program umetumia kuroot
 
Ukisha root nenda kwa Google store uka download na kuinstall Root Checker itakwambia kwamba simu yako imekuwa rooted properly or not

I mean kama nataka kununua used hakuna njia rahs ya kujua kama iko rooted.....?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom