Siku nyingine akija mlipieni guest siju 3 zijiisha asepe au aendelee kulipia mwenyewe
Inashangaza mtu mzima unaacha nyumba yako kwenda kulala sebukeni kwa mwenzio..hata kama ni ndugu yako....tena kama huna dili lolote linalokupeleka huko
Mkishindwa vunjeni ukimya