Naombeni Kujua namna ya Kupambana na Chumvi kwenye Ujenzi wa nyumba

Kiresua

JF-Expert Member
May 13, 2009
1,184
259
Wadau,

Mkoa wa Morogoro hasa maeneo ya manispaa, ujenzi umekuwa unagubikwa na fault ya nyumba kuathirika na chumvi inayosabishwa na aina ya madini yalio kwenye ardhi (soil properties resulted from the rocks that formed the soil). sasa naomba kwa wale wataalam wa ujenzi watusaidie, je mbinu gani za kutumia?

Kwa wale waliotembelea Mkoa wa Moro, ukiangalia kwa makini kwenye kingo za kuta nje na ndani kunalika sana! na nyumba nyingine zimakatika viuno

Asanteni sana
 
wadau,

Mkoa wa Morogoro hasa maeneo ya manispaa, ujenzi umekuwa unagubikwa na fault ya nyumba kuathirika na chumvi inayosabishwa na aina ya madini yalio kwenye ardhi (soil properties resulted from the rocks that formed the soil). sasa naomba kwa wale wataalam wa ujenzi watusaidie, je mbinu gani za kutumia?


Kwa wale waliotembelea Mkoa wa Moro, ukiangalia kwa makini kwenye kingo za kuta nje na ndani kunalika sana! na nyumba nyingine zimakatika viuno

Asanteni sana

Chonde chonde badilli hiyo tittle; ujenzi wa NYUMA unlaeta maana ndiyo-siyo katika thread yako!
 
hahahaha asante, nimecheka mpaka basi

.........yaani umekalia kucheka wakati utata hujauondoa !? mimi naweza kukusaidi ushauri kwenye kudhibiti chumvi ya "mbele" kwani sina uzoefu na chumvi ya "nyuma" ! samahani lakini !
 
Kwa mazingira ya morogoro fanya yafuatayo:-1-baada ya kuchimba msingi (foundation trench) na kushindilia vizuri tandika NGOZI ULAYA(Damp proof membrane) kufuata mle utakapopita msingi then jenga msingi wako mpaka level unayoitaka.2-kabla ya kuanza course za tofali tandika karatasi maalum la kuzuia unyevu(Damp proof course) ,nadhani huu ni ujenzi wa nyumba za kawaida.kama utafuata maelekezo hayo hakuna hyo chumvi wala magari utakayoona.na material yote hupatikana kwny hardwares shops na kama hujanielewa utaniuliza.karibu!
 
.........yaani umekalia kucheka wakati utata hujauondoa !? mimi naweza kukusaidi ushauri kwenye kudhibiti chumvi ya "mbele" kwani sina uzoefu na chumvi ya "nyuma" ! samahani lakini !

Bro ally, this is not fair kaka!! it was natural mistake!
 
kwa mazingira ya morogoro fanya yafuatayo:-1-baada ya kuchimba msingi (foundation trench) na kushindilia vizuri tandika NGOZI ULAYA(Damp proof membrane) kufuata mle utakapopita msingi then jenga msingi wako mpaka level unayoitaka.2-kabla ya kuanza course za tofali tandika karatasi maalum la kuzuia unyevu(Damp proof course) ,nadhani huu ni ujenzi wa nyumba za kawaida.kama utafuata maelekezo hayo hakuna hyo chumvi wala magari utakayoona.na material yote hupatikana kwny hardwares shops na kama hujanielewa utaniuliza.karibu!

Brother Mgaya thanks for the well informed piece of advice! wengine wantumia mawe kwenye msingi (stone foundation) badala ya Tofali, je kuna ufumbuzi wa tatizo hili utaopatikana na matumizi ya mawe?

swali lingine ni kuwa, umeshauri kutumia damp proof membrane chini kabla ya kuanza kuweka zege/kuanza kujenga msingi, nadhani hii itazuiya chimvi/magadi yanayopanda vertical (right?) swali.... hakuna uwezekano wa chumvi/au magadi ku-move horizontal kwnye ukuta wa msingi itakaokuwa into contact with soil? kumbuka when it rains water moves with the minerals! how about that!!
 
kwa mazingira ya morogoro fanya yafuatayo:-1-baada ya kuchimba msingi (foundation trench) na kushindilia vizuri tandika NGOZI ULAYA(Damp proof membrane) kufuata mle utakapopita msingi then jenga msingi wako mpaka level unayoitaka.2-kabla ya kuanza course za tofali tandika karatasi maalum la kuzuia unyevu(Damp proof course) ,nadhani huu ni ujenzi wa nyumba za kawaida.kama utafuata maelekezo hayo hakuna hyo chumvi wala magari utakayoona.na material yote hupatikana kwny hardwares shops na kama hujanielewa utaniuliza.karibu!
Huu ushauri ni hakika. Tatizo hilo nililiona hata Dodoma. na nilipoongea na watu wenye fani zao za ujenzi wakanishauri, niweke DPC. Kwangu imesaidia sana. labda kama chumvi itatokea tena miaka ya baadaye
 
Mgaya D.W,the solution uliyotoa ni ya kweli kabisa,ila ni before construction,je kama umeshamaliza nyumba yako na ishaanza kuumuka ukuta unazuiaje?....nimeshajaribu kuweka waterproof cement,ikazuia kwa muda ila ilipoisha nguvu ndo ikazidi,ukipaka normal cement ndo bure kabisa...if there is an effective solution naomba pia muiweke.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa ushari wako Mgaya wengi tulikuwa tunaweka dampo proof peke yake chini hatutandiki kitu na magadi yalikuwa yanapanda.Na je nitafanyaje ili kuondoa magadi kwenye ukuta kwani tofali nilizojengea kuna kipindi zinapandisha magadi na kusababisha rangi badanduka na ukuta kuwa mweupe
 
Asante kwa ushari wako Mgaya wengi tulikuwa tunaweka dampo proof peke yake chini hatutandiki kitu na magadi yalikuwa yanapanda.Na je nitafanyaje ili kuondoa magadi kwenye ukuta kwani tofali nilizojengea kuna kipindi zinapandisha magadi na kusababisha rangi badanduka na ukuta kuwa mweupe

hilo tatizo lipo sehem nyingi kama LINDI..TANGA..MIKINDANI NK.. wao wmeisha zowea wanatumia msingi hua wa MAWE na hawa tumi CEMENT hutumia CHOKAA kuanzia COZ 3 pale tumia Tofari na CEMENT
 
wadau,

Mkoa wa Morogoro hasa maeneo ya manispaa, ujenzi umekuwa unagubikwa na fault ya nyumba kuathirika na chumvi inayosabishwa na aina ya madini yalio kwenye ardhi (soil properties resulted from the rocks that formed the soil). sasa naomba kwa wale wataalam wa ujenzi watusaidie, je mbinu gani za kutumia?


Kwa wale waliotembelea Mkoa wa Moro, ukiangalia kwa makini kwenye kingo za kuta nje na ndani kunalika sana! na nyumba nyingine zimakatika viuno

Asanteni sana
Wizara ya ujenzi ina maabara mikoani pote, hapa Dar es salaam inaitwa CML -Central Materials Laboratory.
Kile unachotaka kujua utapata ushauri hapo.
 
mimi natafuta wale wajuzi wa kuchora ramani za nyumba na hasa kama upo morogoro, maana nina kiwanja changu pale Kola na nataka nianze ujenzi sasa. kama mpo huku tafadhali ni- PM
 
BANDUGU BADO NASUBIRI MSAADA ZAIDI! bRO MGAYA WAPI TENA!
 
We ni kama mimi mi nimetatua tumia w.cement
Mgaya D.W,the solution uliyotoa ni ya kweli kabisa,ila ni before construction,je kama umeshamaliza nyumba yako na ishaanza kuumuka ukuta unazuiaje?....nimeshajaribu kuweka waterproof cement,ikazuia kwa muda ila ilipoisha nguvu ndo ikazidi,ukipaka normal cement ndo bure kabisa...if there is an effective solution naomba pia muiweke.
 
Last edited by a moderator:
Tumia white cement story kwisha na thread imefungwa, mtu akiendelea ban
Yaani nibandue ile ngozi ya ukuta yote halafu ndio tupige white cement kama plasta??
Naomba kueleweshwa vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom