Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Wadau,
Mkoa wa Morogoro hasa maeneo ya manispaa, ujenzi umekuwa unagubikwa na fault ya nyumba kuathirika na chumvi inayosabishwa na aina ya madini yalio kwenye ardhi (soil properties resulted from the rocks that formed the soil). sasa naomba kwa wale wataalam wa ujenzi watusaidie, je mbinu gani za kutumia?
Kwa wale waliotembelea Mkoa wa Moro, ukiangalia kwa makini kwenye kingo za kuta nje na ndani kunalika sana! na nyumba nyingine zimakatika viuno
Asanteni sana
Mkoa wa Morogoro hasa maeneo ya manispaa, ujenzi umekuwa unagubikwa na fault ya nyumba kuathirika na chumvi inayosabishwa na aina ya madini yalio kwenye ardhi (soil properties resulted from the rocks that formed the soil). sasa naomba kwa wale wataalam wa ujenzi watusaidie, je mbinu gani za kutumia?
Kwa wale waliotembelea Mkoa wa Moro, ukiangalia kwa makini kwenye kingo za kuta nje na ndani kunalika sana! na nyumba nyingine zimakatika viuno
Asanteni sana