Naombeni kujua (sina hakika kama limeshawahi kuzungumzwa humu) , Je kama unapenda kutazama mara kwa mara pornograph na mmeo /mkeo kabla ya kudo ina madhara yoyote kiafya?
Kila mtu angesoma waigizaji wa huu uchafu wanavyosema vibaya, kutendewa zaidi ya wanyama, kushushiwa utu na ubinadamu, sidhani kama wangeendelea kutizama na kusherekea uchafu huo.
Ikiwa kama unategemea huo uchafu, fahamu wewe si 'rijali' wala mbunifu. Haya matakataka ndio yanayohamasisha ngono kinyume na maumbile, ngono za jinsia moja, ngono ya mdomi, ngono na wanyama.
Yote hayo huleta maangamizi makubwa sasa kwa binadamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.