Naombeni kuhusu hili la kibiashara?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Oct 7, 2009
4,153
2,647
Wewe unafanya kazi ofisi A, ulikuwa unawafanyia watu huduma nzuri kwa bei ya elfu 10, na watu wanajua ofisi A wanatoa huduma nzuri kwa bei ya elfu 10, sasa baada ya muda akaja mfanyakazi mgeni naye kavamia huduma hiyo hiyo na anawachaji watu kwa elfu 15 hadi 20, je kibiashara hapo imekaaje? Uendelee na elfu 10 kwa lengo la kuwavutia wateja au ubadilishe bei ilingane na ya mgeni?
 
Je, hiyo elfu 10 inakulipa ? Je, huduma unazotoa ni bora ukilinganisha na huyo mgeni ? Ukipata màjibu ya hayo maswali utakua na maamuzi yenye busara ma tija.
Kama majibu ni NDIYO, endelea na bei yako maana hakuna mtu asiyependa huduma bora kwa gharama nafuu.

Kama majibu ni HAPANA (hata kama ni swali moja hapana lingine ndiyo) basi boresha huduma kwanza ndipo ujiulize maswala ya bei.

Asante.
 
Je, hiyo elfu 10 inakulipa ? Je, huduma unazotoa ni bora ukilinganisha na huyo mgeni ? Ukipata màjibu ya hayo maswali utakua na maamuzi yenye busara ma tija.
Kama majibu ni NDIYO, endelea na bei yako maana hakuna mtu asiyependa huduma bora kwa gharama nafuu.

Kama majibu ni HAPANA (hata kama ni swali moja hapana lingine ndiyo) basi boresha huduma kwanza ndipo ujiulize maswala ya bei.

Asante.
Ahsante sana kwa mchango wako mkuu...!!
 
Back
Top Bottom