Naombeni kitu cha kusoma

bob_fundi

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2025
Posts
447
Reaction score
690
Habari wana jf kuna dogo kamaliza form 4 mwaka jana .kaniombs ushauri wa kitu cha kusoma mm nimeshauri aende veta tu. Dirisha likifunguliwa kama kunaushauri tofauti na wangu naomba unisaidie tumshauri dogo ufaulu wake nika ifuatavyo
phy d mth f cv f kxw f bio c geo c chem d lit d hixtr c .pia amepangiwa chuo account and finance diploma lakini ataki hicho kitu .ushauri wako ni muhimu sana
 
Ajifunze kuwa operator wa mitambo ya ujenzi wa nyumba, barabara na bandari kazi ni nyingi ukitaka unalipwa Kwa sร a.
 
Na baada ya muda mrefu, tutaikataa veta tuhimize vyuo. --- haya ndo maisha ya tanzania yetu
Watanzania akili zao zinawaza hatua moja mbele hapo ndo mwisho akizidisha kufikir sanaaai anarudi nyuma hatua 3, ndo maana mm nafanya juu chini nitoke unyann nikabebe box na starud tena huku, labda nije kuangalia wanyama kama mtalii
 
tulia uandike vzur, amechaguliwa certificate NTA level 4 mwaka wa kwanza, akifaulu ndio ataanza diploma NTA level 5 mwaka wa pili, mwaka wa tatu NTA level 6 ndio diploma yenyewe,,
mwambie asipate chini GPA ya 3.0 ๐Ÿ˜,
akipata 2.9 hawez kwenda Degree ๐Ÿ˜†,

maoni yangu aende tu alipochaguliwa, asifate maoni yako. usimkatie tamaa
 
Watanzania akili zao zinawaza hatua moja mbele hapo ndo mwisho akizidisha kufikir sanaaai anarudi nyuma hatua 3, ndo maana mm nafanya juu chini nitoke unyann nikabebe box na starud tena huku, labda nije kuangalia wanyama kama mtalii
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Shukrani mkuu๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Mbona ana miswaki mingi hadi lugha ya taifa mimi nashauri kama anataka kujiajiri aende veta na kama anataka kuajiriwa aende huko alikopangiwa
 
Mbona ana miswaki mingi hadi lugha ya taifa mimi nashauri kama anataka kujiajiri aende veta na kama anataka kuajiriwa aende huko alikopangiwa
Pw ndio matokeo yake sasa aliyo nitumia hayo mm nime copy & paste tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ