Naombeni kazi

Naombeni kazi

Holota

Senior Member
Joined
Feb 20, 2022
Posts
114
Reaction score
91
Habari za wakati huu. Mimi ni mhitimu wa shahada ya Finance and Investment Planning. Naomba kwa heshima kama kuna fursa yoyote ya kazi hususan kwenye stationery, maduka ya jumla, warehouse, au finance and planning internship. Nipo Dodoma, niko tayari kujifunza na kufanya kazi kwa bidii. Asanteni sana kwa msaada wenu.
 
Mkuu vipi simu za mikopo huku zinatoka? Tufungue chaka huko

Habari za wakati huu. Mimi ni mhitimu wa shahada ya Finance and Investment Planning. Naomba kwa heshima kama kuna fursa yoyote ya kazi hususan kwenye stationery, maduka ya jumla, warehouse, au finance and planning internship. Nipo Dodoma, niko tayari kujifunza na kufanya kazi kwa bidii. Asanteni sana kwa msaada wenu.
Mkuu nichek i
 
Back
Top Bottom