coolbabyboi
Member
- Jan 19, 2012
- 10
- 1
mim ni kijana wa miaka 24 naish apa apa dar.tatizo langu ni moja kama c mawili kila nifanyapo tendo la ndoa na mdada hudiliki kutoniacha kabisa na kuniganda kama ruba kiasi kila niombacho napewa sasa nawachumba wawil ambao makwao mafahar(matajir) na wote wananisikilza kila nisemalo kias kuw nikitaka kumwambia mmoja wapo kila mmoja huanza kulia na kutokula siku nzima na kutaka kujinyonga na wazaz wake kuja kunitafta kwetu nipo ktk kiza cjui cha kufanya na kuendesha mapenz watu wawil kitu ambacho utakuw unamuumiza mmoja wap je wana JF munanishaulije