Uko kama jina lako
Mko kama Avator yako!
Uko kama jina lako
Daudi ni jina zuri
I miss you too siku hizi nadhinda sana CC kijiweni palehalafu ww nimekumiss ujue.
We hujielewi wewe na limbukeni ni wewe mwenyewe... Kama unadhani utumwa upo kwenye majina unakosea sana na utakua unapingana na historia kwamba tulitawalia na wazungu na ndio wao walituletea dini... Rudia tena kusoma hasara za ukoloni, pengine unaweza kuelewa na kupunguza utumwa wa akili uliokua nao. Jiangalie, unapotoa comment jaribu kuiga kidogo wasomi wanavyofanya mambo yao. Nice time.Girl: Miranda, Michelle, Amanda, Sasha, Solana, Gwendolina, Daisy, Laura, Magdalena, Verdiana
Boy: Davion, Lafayyete, Santana, Anthony, Jacob, Benjamin, Abram, Delmont, John, Michael, Vince, Mario[/QUOTE
Punguza UTUMWA hakuna majina mazuri ya KIBANTU mazuri unayojua?
Ulimbukeni mwingne sio.
We hujielewi wewe na limbukeni ni wewe mwenyewe... Kama unadhani utumwa upo kwenye majina unakosea sana na utakua unapingana na historia kwamba tulitawalia na wazungu na ndio wao walituletea dini... Rudia tena kusoma hasara za ukoloni, pengine unaweza kuelewa na kupunguza utumwa wa akili uliokua nao. Jiangalie, unapotoa comment jaribu kuiga kidogo wasomi wanavyofanya mambo yao. Nice time.Punguza UTUMWA hakuna majina mazuri ya KIBANTU mazuri unayojua?
Ulimbukeni mwingne sio.