Naombe mnitajie wise names

Naombe mnitajie wise names

Babu sea

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
953
Reaction score
749
Jamani wanajf natumaini mko poa niko hapa kwaajili ya kupata majina mbalimbali ya watoto wa jinsia zote ambayo ukimpa mwanao yanamfanya kuwa mtu wa mafanikio mean while anakuwa wise coz mi ni wale wanao amini kuna uhusiano kati ya jina na tabia..but i know kuna watu wengine mtaanza kunishambulia msinishambulie bali mnisaidie hayo majina kama huna mchango wwt nibora usiandike kitu coz siwalazimish bali ninawaomba.
 
Look around you. Walio wise wanaitwaje?
 
teh teh teh... wazazi ndio wanajua jina zuri la kumpa mtoto...
kwangu watoto wangu mkono wote majina ni unique....
 
Kila jina lina maana yake hivyo zingatia maana ya jina kwanza ndipo uamue jina limfaalo mwanao.
 
Napendekeza Chopeko maana nahic nina busara tele. Try it utanipa majibu tu
 
Unataka majina ya Kiarabu, Kiingereza, Kikabila, yalio kwenye Biblia? Turahisishie kazi..
 
Girl: Miranda, Michelle, Amanda, Sasha, Solana, Gwendolina, Daisy, Laura, Magdalena, Verdiana
Boy: Davion, Lafayyete, Santana, Anthony, Jacob, Benjamin, Abram, Delmont, John, Michael, Vince, Mario
 
Babu sea kila kitu siku hizi ni lazima ulipie,salamu ndiyo watu wanatoa tu bure; nikikutajia jina la kiume shin mia tano la kike elfu au elf mbili kutokana na mahaba yaliyoko kwenye jina husika! Let as make a deal
 
Girl: Miranda, Michelle, Amanda, Sasha, Solana, Gwendolina, Daisy, Laura, Magdalena, Verdiana
Boy: Davion, Lafayyete, Santana, Anthony, Jacob, Benjamin, Abram, Delmont, John, Michael, Vince, Mario

Kuna mtoto wa Massawe hapa anaitwa Kisumbo, ana busara hadi mvi zimemwota angali mdogo tu, try this!
Dada yake mwite Anaelinlanganasia upate busara na myote kwa pamoja
 
Girl: Miranda, Michelle, Amanda, Sasha, Solana, Gwendolina, Daisy, Laura, Magdalena, Verdiana
Boy: Davion, Lafayyete, Santana, Anthony, Jacob, Benjamin, Abram, Delmont, John, Michael, Vince, Mario[/QUOTE


Punguza UTUMWA hakuna majina mazuri ya KIBANTU mazuri unayojua?
Ulimbukeni mwingne sio.
 
Jamani wanajf natumaini mko poa niko hapa kwaajili ya kupata majina mbalimbali ya watoto wa jinsia zote ambayo ukimpa mwanao yanamfanya kuwa mtu wa mafanikio mean while anakuwa wise coz mi ni wale wanao amini kuna uhusiano kati ya jina na tabia..but i know kuna watu wengine mtaanza kunishambulia msinishambulie bali mnisaidie hayo majina kama huna mchango wwt nibora usiandike kitu coz siwalazimish bali ninawaomba.
Daudi ni jina zuri
 
Back
Top Bottom