Naomba wanachama wa chadema tufanye hili.

Naomba wanachama wa chadema tufanye hili.

NGOWILE

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
454
Reaction score
258
Ninaomba kila mwanachama na shabiki wa chadema kutangaza sera na itikadi za chama kwa kila mtu na kila mahali.pia tuwahimize watu wajiandikishe kupiga kura muda utakapofika pia tuwaelimishe watu umuhimu wa kupiga kura.kila mtu ahakikishe anaongeza mwanachadema angalao mmoja kila siku.ni jukumu la kila mtu anaetakia mema taifa hili.

Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom