Oooh ndiomana mkuu,pole kwa tatizo hapo network ni ndogo katika eneo lako kwa hivo simu inajaribu kuconect na network ingineRuvuma,,Songea town
Kama sim ni line mbili akikisha unaiwaishia data iyo line ya ttclNimenunua laini ya 'rudi nyumbani kumenoga' yani TTCL.lakini kwenye simu inaweka neno 'Roaming'.nifanyeje ili niweze kuondoa ilo neno tafadhali
Natumia cx mkuu,,na kwenye setting ipo of,Simu yako aina gani? Kuna sehem kwenye network options unachagua roaming iwe on au off. Angalia kwako ikoje?
Roaming inakusaidia kama unaenda nchi nyingine ambapo huduma ya simu yako haipatikani lakini unaweza kupata huduma kwa kupitia mtandao mwingine ila kuna gharama ya ziada.
Natumia cx mkuu,,na kwenye setting ipo of,
Hii ni ya chuo ama?Huko kwingine niko vilevile,,ila si unajua nyumbani kumenoga,,buku jero GB3 mwezi