achyb
Member
- Aug 10, 2013
- 23
- 5
Habar wana JF.! Kna msichana ambaye tunapendana sana na tushahaidiana kuoana.. kipindi nko nae tulikua tunapendana sana lakin badae yy alienda mwanza kwa wazaz wake sasa yapata miez tisa, mawasiliano yalienda vzr lkn badae akaanza kubadilika.. nikajua moja kwa moja ashapata mtu mwngne lkn kila nkuimuulza anadai hana na hawez kabisa kunsalit na kwa kipnd chote et hajawah kuwa na m2..! Kutaka kujua ukwel nkamwambia rafk angu aliyeko mwanza amtafte ajarib kumtongoza kwa njia yyte ili nijue msimamo wa dem.. jamaa nikamtumia no. akafanya kama tulivyopanga... dem alimsumbua sana lkn badae akamkubali na akamwambia kuwa hana mtu.. jamaa aliniforwadia kila sms wanazotumiana, baada ya kujia ukwel jamaa alamuacha.. mpka saiv kila nkiongea nae anasema kuwa hajawah kunsalit. Sasa leo kanambia anakuja wk ijayo.. sasa cjui nmfanyeje na ushahd wote ninao, istoshe nshamtambulisha had home.. naomben ushaur wenu ndgu kwan nshajua kuwa sio mwaminif na wala hana mpango na mm.. lakin hatak kuniambia anahaid tutaoana.