Single kibini mkuuNissan Pickup ipi mzee baba?
Too general boss. Ata model au mwaka basiSingle kibini mkuu
Zote ni imara ila kwenye body Nissan ana body ngumu sana,, kama hupendi mbio ishi na nissan hardbody engine code qd32 ila kama unapenda mbio na performance chukua yd25.. Vilevile Toyota engine 1kz ni old kidg japo haina noma,, 1kd nayo iko vzr sana ushauri wa mwisho ishi na nissan hardbody yd25nina issue sawa kama ya mtoa mada, napenda sana pick up hilux double cabin,
nimejaribu kuangalia nissan wana qd32,yd25 na toyota ndio wana zile 1kz,1kd,2kd
na mimi naomba ushauri kwenye pick up nzuri na imara mana ndio nipo kwenye mchakato wa kutafuta used.
Shukrani sana brother.Zote ni imara ila kwenye body Nissan ana body ngumu sana,, kama hupendi mbio ishi na nissan hardbody engine code qd32 ila kama unapenda mbio na performance chukua yd25.. Vilevile Toyota engine 1kz ni old kidg japo haina noma,, 1kd nayo iko vzr sana ushauri wa mwisho ishi na nissan hardbody yd25
Ulifanikiwa kuishi na ipi? 😂😂Shukrani sana brother.
Hapana brother nipo naishi na toyota hilux 2.8D LN166.Ulifanikiwa kuishi na ipi? 😂😂
Au ulijichanganya ukapata nissan yenye ZD30??
Engine ni 3L?Hapana brother nipo naishi na toyota hilux 2.8D LN166.
Ni unyama mwingi hakuna changamoto yoyote nishapiga safari Arusha - dodoma tatu,
Na Dar es salaam to dodoma moja, haijawahi nisumbua hata kidogo.
Alafu ni no. AF.
Hongera sana aisee.. nilijichanganya na ZD30 hakuna rangi sikuona mixer kuua turbo mara tatu..Hapana brother nipo naishi na toyota hilux 2.8D LN166.
Ni unyama mwingi hakuna changamoto yoyote nishapiga safari Arusha - dodoma tatu,
Na Dar es salaam to dodoma moja, haijawahi nisumbua hata kidogo.
Alafu ni no. AF.
Zd30 engine tamu sana tena ya hardbody haina mambo mengi.. Shida ipo kwa wamilikiHongera sana aisee.. nilijichanganya na ZD30 hakuna rangi sikuona mixer kuua turbo mara tatu..
Nika swap nikaweka QD32 mwaka wa tatu sasa nakula maisha..
Yes.Engine ni 3L?
Bado pia fundi au aliekushauri QD32 hakukupa ushauri mzuri sana.Hongera sana aisee.. nilijichanganya na ZD30 hakuna rangi sikuona mixer kuua turbo mara tatu..
Nika swap nikaweka QD32 mwaka wa tatu sasa nakula maisha..
Pole sana, nafikiri tu ulipata gari inachangamoto toka awali, kumbe QD32 nazo ziko vizuri?Hongera sana aisee.. nilijichanganya na ZD30 hakuna rangi sikuona mixer kuua turbo mara tatu..
Nika swap nikaweka QD32 mwaka wa tatu sasa nakula maisha..
QD32 ziko vizuri sana. Reliable kama sio mtu wa mbio mbioPole sana, nafikiri tu ulipata gari inachangamoto toka awali, kumbe QD32 nazo ziko vizuri?