Naomba ushauri

Okrap

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
1,112
Reaction score
2,315
Nimekuwa Mwendawazimu katika Mapenzi na Mwanaume Mwingine.

Mwanaume wangu ni mwepesi sana maishani - mwepesi sana kwangu - ni mvivu na mwepesi katika kufanya maamuzi, na hanitimizii kabisa mahitaji ya mwili wangu, wakati wa tendo la ndoa humaliza baada ya dakika mbili tu kisha anageukia upande mwingine na kulala fofofo na kuniacha na nyege zangu nikiteseka.

Nikiwa nakereka na mwanaume wangu, ametokea mkaka huyu na kunivuruga kabisa, kanifanya nimpende sana bila masharti. Ananivutia sana kwa kweli, na anajaribu kunifanya niwe naye kila saa ni mcheshi na mchangamfu mno kwangu.

Ana sauti tamu na kila akiongea huwasha moto ndani yangu.

Shida ipo hivi, huyu mkaka ameoa. Ila bado sijalala naye; na yeye ni mchungaji wa kanisa.

Nawaza nifanyeje ili nisiingie katika dhambi ya kuzini na huyu pastor maana amenishika pabaya.

Naomba ushauri wako tafadhari.
 
Mmh!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…