Habarini wanajukwaa..!!
Kwa jina naitwa HUSSEIN FALIH ni mzaliwa na mkazi wa jiji la DSM na pia no mwanafunzi wa kidato cha 5 mchepuo CBG katika shule ya sekondari CHAMWINO ambayo ni shule ya serikali iliyopo mkoani DODOMA..!
Ila kwa sasa nasikitika kuwaambia kwamba nipo nyumbani TEMEKE yapata mwezi 1 na nusu siendelei tena na masomo kutokana na sababu zangu binafsi za kiafya, hivyo basi kuna mambo ambayo nimeyawaza na nikaona sio mbaya kuwashirikisha ndugu zangu kwa namna moja au nyngine ili niweze kupata ushauri kutoka kwenu baada ya kuwaza kwamba "NIACHANE KABISA NA SHULE KUTOKANA NA MDA NILIOUPOTEZA NIKIWA NYUMBANI BILA KUSOMA". Na nikaona nianze kuangaika nitafute chuo chochote kile cha AFYA ili niweze kusoma kozi yoyote ya afya kwa ngazi ya DIPLOMA kwani hata hivyo ufaulu wangu naona unaniruhusu kwasababu nilipata division 2 kwa kwa alama zifuatazo kwenye masomo ya SAYANSI,,, PHYS {D}, CHEM {C}, BIOL {B} na MATH {C} ili angalau niweze kutimiza ndoto zangu ila kinachoniumiza zaidi ni kwamba sina support yoyote ile ambayo inaweza kunilipia ada nikiwa chuoni kwani mimi ni yatima wa wazazi wote wawili, hivyo basi ndugu zangu naomba ushauri wenu kwa haya ninayoyafikiria tafadhali:-
1. Niachane kabisa na shule ili niweze kupambana kwenda chuo kusomea kozi ya afya na sio CBG
2. Je, naweza kutafuta msaada hata wa mikopo ili niweze kwenda chuo?
3. Na kama nikipata bahati ya kwenda chuo nisome kozi gani ya afya ambayo ni MARKETABLE kwa ngazi ya diploma
4. Au nirudi shule nikapambane na CBG bila kujali mda nilioupoteza nikiwa nyumbani?
NAOMBA USHAURI WENU TAFADHALI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jina naitwa HUSSEIN FALIH ni mzaliwa na mkazi wa jiji la DSM na pia no mwanafunzi wa kidato cha 5 mchepuo CBG katika shule ya sekondari CHAMWINO ambayo ni shule ya serikali iliyopo mkoani DODOMA..!
Ila kwa sasa nasikitika kuwaambia kwamba nipo nyumbani TEMEKE yapata mwezi 1 na nusu siendelei tena na masomo kutokana na sababu zangu binafsi za kiafya, hivyo basi kuna mambo ambayo nimeyawaza na nikaona sio mbaya kuwashirikisha ndugu zangu kwa namna moja au nyngine ili niweze kupata ushauri kutoka kwenu baada ya kuwaza kwamba "NIACHANE KABISA NA SHULE KUTOKANA NA MDA NILIOUPOTEZA NIKIWA NYUMBANI BILA KUSOMA". Na nikaona nianze kuangaika nitafute chuo chochote kile cha AFYA ili niweze kusoma kozi yoyote ya afya kwa ngazi ya DIPLOMA kwani hata hivyo ufaulu wangu naona unaniruhusu kwasababu nilipata division 2 kwa kwa alama zifuatazo kwenye masomo ya SAYANSI,,, PHYS {D}, CHEM {C}, BIOL {B} na MATH {C} ili angalau niweze kutimiza ndoto zangu ila kinachoniumiza zaidi ni kwamba sina support yoyote ile ambayo inaweza kunilipia ada nikiwa chuoni kwani mimi ni yatima wa wazazi wote wawili, hivyo basi ndugu zangu naomba ushauri wenu kwa haya ninayoyafikiria tafadhali:-
1. Niachane kabisa na shule ili niweze kupambana kwenda chuo kusomea kozi ya afya na sio CBG
2. Je, naweza kutafuta msaada hata wa mikopo ili niweze kwenda chuo?
3. Na kama nikipata bahati ya kwenda chuo nisome kozi gani ya afya ambayo ni MARKETABLE kwa ngazi ya diploma
4. Au nirudi shule nikapambane na CBG bila kujali mda nilioupoteza nikiwa nyumbani?
NAOMBA USHAURI WENU TAFADHALI.
Sent using Jamii Forums mobile app