Naomba ushauri wenu wanajamii

Naomba ushauri wenu wanajamii

Pengine kule aliandika 42 ili kumzungua mleta hoja,huku ndiyo kasema ukweli wake.

Sent from my iPad using JamiiForums mobile app

Pengine...

Utofauti wa umri alioutaja unatuathiri hata namna ya comments tunazoweza kumpa...

Kibaiolojia mwanamke wa miaka 36 na 42 wapo tofauti kidogo...

Hivyo namna ya kumchukulia kikongwe wa miaka 55 nayo itabadilika...
 
Wenzio wanatafuta vijana ww unaenda kutafuta mtu kachokaa
Huyo babu tuachie sie mabinti hatupendwi kufikishwaa sana kama wewe sie hela tu
 
Kwani vijana wenzio wameisha...hivi lifespan ni miaka mingapi vile?!
 
Back
Top Bottom