Naomba ushauri wenu wadau

Naomba ushauri wenu wadau

wakuselo

Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
7
Reaction score
2
mimi ni mdada nina mpenzi na tunapendana sana ila tunatumia condon.kwasasa nahitaji mtoto na huyu mpenzi hata wa kumlea mimi kama mimi.tumepanga kufunga ndoa kwa hapo baadae sana.
 
Wakuselo najua unajifunza kupost karibu sana JF naomba pitia tena post yako halafu uone kama inaeleweka au kama kweli inahitaji ushauri
 
Sasa Dada Yangu Mbona Hujamaliza Kiini Cha post?
Ushauri Uliouomba Nashindwa kuutoa, kwa sababu Post Haina Main Body!!
 
unataka mtoto wa kumlea 'wewe kama wewe',?
basi na hiyo mimba jipe mwenyewe.
 
Mnapendana? Si mfunge ndoa kwanza? Kwa hiyo unataka tukushauri namna nzuri ya kufanya zinaa? Hebu kamuulize mama yako mzazi kwanza usikie akili yake, yeye ana uchungu zaidi na wewe kuliko mtu mwingine yeyote!
 
Huna akili Wewe hapo shidayako ninini? Makalio kabisa Wewe

dagii hujamtendea haki kabisa kumtusi mdogo wetu! Ni junior member na anahitaji kulelewa katika njia sahihi
 
mshanajr yani hapa kwenye msafala wakenge na vyura nao wamo hata usimshangae uyo anae mtusi mwenzie teh teh
dagii hujamtendea haki kabisa kumtusi mdogo wetu! Ni junior member na anahitaji kulelewa katika njia sahihi
 
Last edited by a moderator:
Acha kufanya matusi, condom zinaleta ukimwi.
source: unknown

Ujanja kupima tu ku do ni kavukavu nyama kwa nyama.

Inaonekana hili jukwaa kuna hakuna wanalojifunza, mimi nitamuona mwanamke ana akili akiomba ushauri namna ya kumcovence mpenzi wake waowane, tumeshachoka na vilio vya single mother.
 
Acha utoto wewe,unacheza na mwanaume eeh..ubebe mimba kesho unakuja kulia hapa,amenipa mimba na kunitelekeza,
jaribu kufikiri japo mile moja mbele.
Watoto wanaolelewa na single mother wanaishi ndiyo ila usilazimishe mwanao akue katika mazingira hayo,jifikirie japo kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom