mwita mohere
Member
- Mar 15, 2013
- 23
- 1
katka maisha kila mtu ana mikasa na historia zke mimi ni mwanachuo mwaka tatu chuo cha ifm nasomea bachelor banking and finance hata hivo tatzo langu ni hiv nkigraduate july2013 cna mahala pa kikaa hapa mjin nkifanya mipanho yaa mishe itanbidi niende kijijin ambako hata mitandao ya neti hamna kabisa nimezhindwa nfanyeje maana kma mnvyojua mishe zote hasa za kibenki znfanyiwa huku mjin(dar)ebu nshauri ntumie njia gan kusolve tatizo langu