Valentino
Kama maziwa ya mama hayatoshi sio salama kuendelea kumuweka katika maziwa ya mama tu. Inaweza kumletea mtoto shida kiafya. miezi mitano sio mbaya, mnaweza kumuweka katika mpangilio maalumu wa chakula utakao hakikisha anapata virutubisho vingine vya muhimu huku akiendelea taratibu na maziwa ya mama. Kikubwa epuka maziwa ya ng'ombe, ni mabaya kwa mtoto wa chini ya mwaka mmoja.
Nitafute kupitia namba 0765886191 kwa ushauri zaidi. karibu!