GBorLog Mwakyembe
New Member
- Jul 29, 2020
- 4
- 1
Ndugu zangu habari ya subuhi.
Naomba ushauri nataka kuanza biashara ya vitenge mkoa wa Mbeya (Tukuyu) kwa mtaji wa Tshs. million moja na nusu.
Kwa hiyo naombeni ushauri wapi naweza kujumua kwa bei nafuu na inaweza kunifikia kwa urahisi,
Asanteni
Naomba ushauri nataka kuanza biashara ya vitenge mkoa wa Mbeya (Tukuyu) kwa mtaji wa Tshs. million moja na nusu.
Kwa hiyo naombeni ushauri wapi naweza kujumua kwa bei nafuu na inaweza kunifikia kwa urahisi,
Asanteni